Kampuni nzuri ya kuagiza magari Japan

Kampuni nzuri ya kuagiza magari Japan

Majaribu2013

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
952
Reaction score
1,050
WanaJF,

Hapa Tanzania kumekuwa na maagent wengi sana wa kuagiza magari Japan kama vile BE FORWARD, STB JAPAN, AUTOCOM JAPAN n.k

Ni kampuni gani nzuri unayoijua? Ambayo hawabadilishi badilishi bei, hawaibi vipuli gari ikifika, hawadanganyi muda maana wengine wanakuambia gari itaingia ndani ya siku 30 gari inakaa miezi 3.


Je ni kampuni ipi iliyo njema?
 
SBT wapo vizuri,lakini Autorec na wenyewe ni wazuri sema bei zao zipo juu kwasababu wanafunga spea mpya kama zipo zilizochakaa.
 
Dah, nimeagiza moja SBT wananiambia inafanyiwa service almost 3weeks ss. Naisubiria ije niione kama walikuwa wanafanya service kweli au magumashi tu.
 
Back
Top Bottom