mnang'umba
JF-Expert Member
- Jun 26, 2015
- 471
- 150
Njoo nikuuzie kirikuu Mitsubishi imesimamaMambo vp wazee wenzangu, kwa mwenye ujuzi zaidi wa gari ndogo ndogo but classic ninunue mchuma upi kwa budget ya Million 6. Maana niliandaa pesa nikatoe mahali nioe Mwakani ila naona Mtoto wa kike pasua kichwa bora ni top up mkwanja nivute mkoko nile maisha kwa umakini kuliko kuuliwa na Mapenzi.
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
DaahMambo vp wazee wenzangu, kwa mwenye ujuzi zaidi wa gari ndogo ndogo but classic ninunue mchuma upi kwa budget ya Million 6. Maana niliandaa pesa nikatoe mahali nioe Mwakani ila naona Mtoto wa kike pasua kichwa bora ni top up mkwanja nivute mkoko nile maisha kwa umakini kuliko kuuliwa na Mapenzi.
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Punch ya maana hii....tatizo la watanzania ujuaji mwingi sana,mwenzao kaomba ushauri anunue gari gani yeye anakuja na hoja ya uwekezaji,kwani mtoa mada si anajua kama kuna kuwekeza,angehitaji angeomba ushauri awekeze kwenye nini....acha kujifanya mama terry...alokwambia hajawekeza ni nani..??hivi uwa mnadhani wana jf wote ni watafuta kazi au sio!!?
🤣🤣🤣 mkuu unataka kuniangamiza Mzee wanguNjoo sinza nikuonyeshe bar yenye madem wakali [emoji23][emoji23]unakula taratb pesa yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaa! Huku weye unampa kampani mdogomdogo.Njoo sinza nikuonyeshe bar yenye madem wakali [emoji23][emoji23]unakula taratb pesa yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Awekeze, akifa je😳
Benki gani mkuu wanakubali kadi ya gari?Kwa hiyo pesa nunua Carina TI na ukiamua kiuza mda wowote unaiuza pia unaweza ukaenda benk ukachukua mkopo ukawachia kadi wakae nalo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]we mbaya sana, hapo atajikuta kamaliza hela ndani ya siku chacheNjoo sinza nikuonyeshe bar yenye madem wakali [emoji23][emoji23]unakula taratb pesa yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo vp wazee wenzangu, kwa mwenye ujuzi zaidi wa gari ndogo ndogo but classic ninunue mchuma upi kwa budget ya Million 6. Maana niliandaa pesa nikatoe mahali nioe Mwakani ila naona Mtoto wa kike pasua kichwa bora ni top up mkwanja nivute mkoko nile maisha kwa umakini kuliko kuuliwa na Mapenzi.
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukurani Babmcheck huyu jamaa
Master of the game
au pitia uzi wake huu
Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi - JamiiForums
Muwe mnatoa ushauri wa kile alichoomba.Hayo mambo ya kuwekeza yametoka wapi?
Ina maana Vitz ni imara sana?Toyota Vitz. Hii gari ukiipata mpya, unaweza kuzeeka nayo.
Benki nyingi tu mi kadi yangu ipo benk hadi sasa nilichukua mkopoBenki gani mkuu wanakubali kadi ya gari?
Specifically bank gani mkuu? bank nyingi wanahitaji hati ya nyumbaBenki nyingi tu mi kadi yangu ipo benk hadi sasa nilichukua mkopo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yep.