Unajua akili za anayeota huwa anaona watu wengine wote ndio wanaoota sio yeye. Played 21 bado wako points 8 nyuma. Lost mechi 5 already, kiilivyo huwezi kupata ubingwa kwa kupoteza mechi 5 mkuu na bado kuna mechi za Europa ambazo zitawatibua form, bado watapoteza mechi katika ligi, so endelea...
Haya City amepoteza tena, 4 losses tiari bado points 5 palepale na mechi moja wamecheza zaidi. Tukutane Emirates J'mosi ijayo na Brentford kabla ya kuja kuzika ndoto za City J5 ya tarehe 15 pale nyumbani. #NorthLondonForeverWhatevertheWeather.
Gooners! Kitambo sijatembelea hapa, sababu naona kuna chuki na utoto mwingi na sio ushabiki, wale mashabiki tulioanza kitambo wanaoelewa mpira na ushabiki wametulia, hivi sasa wamejaa wale walianza kujua kutumia mitandao miaka ya hivi karibuni kwa madhumuni ya kiki (TROLLS).
Anyway, tunaoelewa...
Kwa nadharia hii biashara kila mtu huona ni rahisi hivi, ila kivitendo unakuja kugundua ina changamoto nyingi sana, mfano unaweka makadirio ya chakula katika miezi 6 inakuja kuzidi nje ya bajeti, na kupata quality ya chakula bora nayo ishu, kuna chakula unaweza lisha miezi 8 kuku hawaongezeki...
Ningekuchangia ushauri katika mawili matatu kulingana na uzoefu wangu mdogo nilionao. Kitu muhimu cha kwanza cha kuzingatia kabla ya yote ni kufanya Utafiti yakinifu, research, research and research again, eneo uliopo? Uwezo na ujuzi wako katika hio biashara? soko na ushindani katika hio...
Naingia humu nyumbani kusalimia, imekuwa muda mrefu, wakongwe wenzangu akina Wacha1, BAK , Malafyale , Castr na wengine wote wanaoendeleza uzi hapa na wale wapinzani wetu akina masanilo, Belo , Hivi Game Theory, Balatanda hawa watu wako bado humu?
One Love #COYG! #WearetheArsenal.
Mimi hawawezi kwa ujanja huu, I can smell the fish from miles away, ila kuna jamaa yangu yuko Mwanza bado sekunde tu ila aliniwahi kunicheki nikamnusuru.
Kuna matapeli maarufu kwenye mtandao wa Instagram, hii account yenye jina la zanzibar_electronics_og ni matapeli ambao ukiangalia utadhani ni wafanyabiashara wakubwa kulingana na followers, lakini hawa ni matapeli ambao hawana duka physically na wala hawana bidhaa yoyote, wanawaibia watu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.