Recent content by Kweli

  1. Kweli

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tonight ni payback time pale Emirates Stadium, #coyg
  2. Kweli

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Unajua akili za anayeota huwa anaona watu wengine wote ndio wanaoota sio yeye. Played 21 bado wako points 8 nyuma. Lost mechi 5 already, kiilivyo huwezi kupata ubingwa kwa kupoteza mechi 5 mkuu na bado kuna mechi za Europa ambazo zitawatibua form, bado watapoteza mechi katika ligi, so endelea...
  3. Kweli

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Haya City amepoteza tena, 4 losses tiari bado points 5 palepale na mechi moja wamecheza zaidi. Tukutane Emirates J'mosi ijayo na Brentford kabla ya kuja kuzika ndoto za City J5 ya tarehe 15 pale nyumbani. #NorthLondonForeverWhatevertheWeather.
  4. Kweli

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Gooners! Kitambo sijatembelea hapa, sababu naona kuna chuki na utoto mwingi na sio ushabiki, wale mashabiki tulioanza kitambo wanaoelewa mpira na ushabiki wametulia, hivi sasa wamejaa wale walianza kujua kutumia mitandao miaka ya hivi karibuni kwa madhumuni ya kiki (TROLLS). Anyway, tunaoelewa...
  5. Kweli

    Nifanye biashara gani ambayo naweza kuingiza laki moja kila siku

    Sawa nimekuelewa niliweka angalizo tu kwa maana watu wengi wanajua kufuga kuku ni mteremko hadi waingie ndio wanakuja elewa kumbe sio rahisi kivile.
  6. Kweli

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hahaha tunakomaa nayo tu ivoivo tumeipenda wenyewe. Once a gunner always a Gunner!
  7. Kweli

    Nifanye biashara gani ambayo naweza kuingiza laki moja kila siku

    Kwa nadharia hii biashara kila mtu huona ni rahisi hivi, ila kivitendo unakuja kugundua ina changamoto nyingi sana, mfano unaweka makadirio ya chakula katika miezi 6 inakuja kuzidi nje ya bajeti, na kupata quality ya chakula bora nayo ishu, kuna chakula unaweza lisha miezi 8 kuku hawaongezeki...
  8. Kweli

    Nifanye biashara gani ambayo naweza kuingiza laki moja kila siku

    Ningekuchangia ushauri katika mawili matatu kulingana na uzoefu wangu mdogo nilionao. Kitu muhimu cha kwanza cha kuzingatia kabla ya yote ni kufanya Utafiti yakinifu, research, research and research again, eneo uliopo? Uwezo na ujuzi wako katika hio biashara? soko na ushindani katika hio...
  9. Kweli

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Naingia humu nyumbani kusalimia, imekuwa muda mrefu, wakongwe wenzangu akina Wacha1, BAK , Malafyale , Castr na wengine wote wanaoendeleza uzi hapa na wale wapinzani wetu akina masanilo, Belo , Hivi Game Theory, Balatanda hawa watu wako bado humu? One Love #COYG! #WearetheArsenal.
  10. Kweli

    Tafadhali jihadhari na tapeli huyu wa Instagram!

    Ndio walewale huwa wanabadili majina tu, hawajibu comments na wana followers wa kununua ili upate kuwaamini.
  11. Kweli

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Na pia wana account nyengine instagram zanzibar_general_suplier_2021 ndio walewale.
  12. Kweli

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Na pia wana account nyengine instagram zanzibar_general_suplier_2021 ndio walewale.
  13. Kweli

    ONYO kwa wanaonunua simu humu

    Na pia wana account nyengine instagram zanzibar_general_suplier_2021 ndio walewale.
  14. Kweli

    ONYO kwa wanaonunua simu humu

    Mimi hawawezi kwa ujanja huu, I can smell the fish from miles away, ila kuna jamaa yangu yuko Mwanza bado sekunde tu ila aliniwahi kunicheki nikamnusuru.
  15. Kweli

    ONYO kwa wanaonunua simu humu

    Kuna matapeli maarufu kwenye mtandao wa Instagram, hii account yenye jina la zanzibar_electronics_og ni matapeli ambao ukiangalia utadhani ni wafanyabiashara wakubwa kulingana na followers, lakini hawa ni matapeli ambao hawana duka physically na wala hawana bidhaa yoyote, wanawaibia watu kwa...
Back
Top Bottom