Ila maisha ya 842 hapana kulikuwa na wazee wachawi kinoma wakaja kutawanywa wote..namkubali mwamba alikuwa anaitwa sgt meza huyu mzee alikuwa mbabe kinoma [emoji2][emoji2]
[emoji28][emoji28][emoji28] 842 kj mlale
Sitasahau siku nimekula doso mlangoni kisa nilitaka kwenda pasi huku nimevaa pensi. Siku hiyo nilipigwa doso toka saa 2 asubuhi mpaka saa nane wengine walivyorudi pasi
Op uadilifu 2008
umenikumbusha mbali aisee ..hiyo morce code inaendana na kitu kinaitwa teleghraph procedure umo kuna mavitu yanaitwa PROSIGNS na OPERATING SIGNAL ni shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.