Morce code na Telegraphy procedure, elimu ya mawasiliano inayopotea kwa kufa kifo cha kawaida.

Sakasaka Mao

JF-Expert Member
Sep 29, 2016
10,141
12,187
Kwa wale wakongwe wa fani ya mawasiliano ya simu za upepo ama za waya waliokuwa waajiriwa wa EAAW(Shirika la ndege la Afrika mashariki),EAPTC(shirika la posta na simu la Afrika mashariki,EARW (shirika la reli la Afrika mashariki), Tanganyika Rifles(nowJWTZ) pamwe private sector 'wa enzi hizo' mlioko hai, tujikumbushe kidogo mambo ya mawasiliano yaliyotupatia sifa sana enzi za ujana wetu.

Baada ya mfumo wa internet na mawasiliano ya simu za kiganjani kuliteka soko la mawasiliano duniani, 'elimu pendwa' niliyoitaja hapo juu, sasa ninaona inapotea kwa kusahaulika ama kufa kifo cha kawaida.

Maana sijasikia tena chuo chochote kinachohangaika kufundisha telegraphy siku hizi.

Je mnakumbuka zile dot na dash tulivyokuwa tukiziimba vyuoni kama makasuku ili kukariri numeral, alphabets na panctuations zote kichwani wakati muda wa kozi hautoshi?

Je ulifaulu kuyakariri yote hayo ukiwa chuoni ama ulienda kupatia uzoefu maofisini?

Ulilipenda somo hilo ama uliona kama linakudhalilisha?

Je ulifaulu kupiga morse na kupokea kwa kasi ya maneno mangapi kwa dakika?

Na mengine mengi, kwa leo ngoja nitakumbusha kidogo mpangilio wa milio ya Roman alphabets na numeral kwa kuziimba dot na dash(. na -) ama 'di' na 'da'.

Ieleweke hapa kwamba, alphabet zote, numeral zote pamoja na punctuation zote na chochote kwenye mawasiliano ya telegraphy hutumika simble mbili tu, ambazo ni simble ya fullstop(.) Inayoitwa dot na kwenye morse code inaimbwa na kusikika 'di', kisha simble ya hyphen(-) inayoitwa dash na kwenye morse code inaimbwa na kusikika 'da'.

Haya tuwemo:

A.-(dida)
B-...(dadididi)
C-.-.(dadidadi)
D-..(dadidi)
E.(di)
F..-.(dididadi)
G--.(dadadi)
H....(dididi)
I..(didi)
J.---(didadada)
K-.-(dadida)
L.-..(didadidi)
M--(dada)
N-.(dadi)
O---(dadada)
P.--.(didadadi)
Q--.-(dadadida)
R.-.(didadi)
S...(dididi)
T-(da)
U..-(didida)
V...-(dididida)
W.--(didada)
X-..-(dadidida)
Y-.--(dadidada)
Z--..dadadidi

1.----(didadadada)
2..---(dididadada)
3...--(didididada)
4....-(didididida)
5.....(dididididi)
6-....(dadidididi)
7--...(dadadididi)
8---didi(dadadadidi)
9----.(dadadadadi)
0-----(dadadadada).

Somo litakalofuata, nitakuletea punctuations na kisha Telegraphy procedure.

Je wakongwe kweli mpo?

Nisije nikawa ninaongea na kujikumbusha peke yangu.

Mana dunia hii, miongo minne ikishapita ni miaka mingi sana, tegemea lolote kulisikia linalomhusu yeyote.
 
Mode tafadhali rekebisha alphabet 'H' dotdash zake nilikosea. Isomeke inaimbwa na kusikika didididi(H....) tofauti na S ambayo hapo ipo sahihi.
 
Teknolojia inabadilika kwa kasi sana mkuu.
Binafsi nilisoma kozi ya mawasiliano lakin tuliishia kuzitaja tu darasani maisha yakasonga.
Ila morse code bado inatumika kwenye military tena sana tu
 
Hii kitu niliiona katika documentary fulani ilimsaidia McCain na mwenzake walipokuwa mateka wa kivita Vietnam waliwasiliana kwa kugonga gonga ukuta wakati wakiwa katika vyumba tofauti. Ni kitu kizuri nafikiri kilipaswa kuendelea kufundishwa kwa ajili ya usalama
 
Nina hakika asilimia mia moja hiki ulichoandika hapa asilimia 90 ya wana JF hawakifahamu kabisa.... Ishu za REVERSE call kwa mfano kwa kizazi cha sasa ni hekaya za kufikirika....
Teh teh teh. Umenifurahisha sana mkuu, nimejaribu kulitupa kama gizani jiwe. Ila nimeshukuru mkuu kukupata mwenye ufahamu wa elimu hizo za mawasiliano ya zamani.
 
Mkuu yaani nilikua naandaa makala kuhusu hii kitu naona umeniwahi..Hongera kwa kutupa elimu. Ngoja nifute tu faili lake
 
Sasa zinatumikaje?
Kitu cha kwanza karani wa mawasiliano lazima uwe umefaulu kwa kukariri hiyo milio kwa uhakika.

Ofisi inapoandaa meseji letsay kituo kipo Dar, meseji inatumwa ofisi nyigine iliyoko Mwanza.

Karani wa mawasiliano akiishakuipokea na kusaini kwenye dispatch book toka kwa muandaaji, atafanya yafuatayo; Ataangalia usomekaji wake, anuani inakokwenda, je sehemu iliyoandikwa kwenda kuna radio ama simu ya kupokea meseji hiyo?

Akisha jiridhisha atamuita yule wa upande wa pili kumtaarifu kwamba akae tayari kuna meseji inafuata.

Yule wa upande wa pili kama yupo tayari, mtumaji ataanza kutuma.

Mfano:...MHANDISI MARCO ANATAKIWA KURIPOTI MAKAO MAKUU TRH 17 OCT 19 BILA KUKOSA

Atapiga morse key kama nilivyokwisha eleza huko juu ifuatavyo -- .... .- -. -.. .. ... .. -- .- .-. -.-. --- .- -. .- - .- -.- .. .-- .- -.- ..- .-. .. .--. --- - .. -- .- -.- .- --- -- .- -.- ..- ..- - .-. .... .----- --... --- -.-. - .----- ----. -... .. .-.. .- -.- ..- -.- --- .- mpokeaji akishapokea atatuma muda aliopokelea ambao ndiyo utakaojazwa kwa mtumaji pia.
Zinapolia hizo morse code, mpokeaji haandiki morse code bali huandika herufi zenye kusomeka moja kwa moja na kupeleka meseji hiyo ofisini.
 
Kitu cha kwanza karani wa mawasiliano lazima uwe umefaulu kwa kukariri hiyo milio kwa uhakika.

Ofisi inapoandaa meseji letsay kituo kipo Dar, meseji inatumwa ofisi nyigine iliyoko Mwanza.

Karani wa mawasiliano akiishakuipokea na kusaini kwenye dispatch book toka kwa muandaaji, atafanya yafuatayo; Ataangalia usomekaji wake, anuani inakokwenda, je sehemu iliyoandikwa kwenda kuna radio ama simu ya kupokea meseji hiyo?

Akisha jiridhisha atamuita yule wa upande wa pili kumtaarifu kwamba akae tayari kuna meseji inafuata.

Yule wa upande wa pili kama yupo tayari, mtumaji ataanza kutuma.

Mfano:...MHANDISI MARCO ANATAKIWA KURIPOTI MAKAO MAKUU TRH 17 OCT 19 BILA KUKOSA

Atapiga morse key kama nilivyokwisha eleza huko juu ifuatavyo -- .... .- -. -.. .. ... .. -- .- .-. -.-. --- .- -. .- - .- -.- .. .-- .- -.- ..- .-. .. .--. --- - .. -- .- -.- .- --- -- .- -.- ..- ..- - .-. .... .----- --... --- -.-. - .----- ----. -... .. .-.. .- -.- ..- -.- --- .- mpokeaji akishapokea atatuma muda aliopokelea ambao ndiyo utakaojazwa kwa mtumaji pia.
Zinapolia hizo morse code, mpokeaji haandiki morse code bali huandika herufi zenye kusomeka moja kwa moja na kupeleka meseji hiyo ofisini.
 
umenikumbusha mbali aisee ..hiyo morce code inaendana na kitu kinaitwa teleghraph procedure umo kuna mavitu yanaitwa PROSIGNS na OPERATING SIGNAL ni shida
Kitu cha kwanza karani wa mawasiliano lazima uwe umefaulu kwa kukariri hiyo milio kwa uhakika.

Ofisi inapoandaa meseji letsay kituo kipo Dar, meseji inatumwa ofisi nyigine iliyoko Mwanza.

Karani wa mawasiliano akiishakuipokea na kusaini kwenye dispatch book toka kwa muandaaji, atafanya yafuatayo; Ataangalia usomekaji wake, anuani inakokwenda, je sehemu iliyoandikwa kwenda kuna radio ama simu ya kupokea meseji hiyo?

Akisha jiridhisha atamuita yule wa upande wa pili kumtaarifu kwamba akae tayari kuna meseji inafuata.

Yule wa upande wa pili kama yupo tayari, mtumaji ataanza kutuma.

Mfano:...MHANDISI MARCO ANATAKIWA KURIPOTI MAKAO MAKUU TRH 17 OCT 19 BILA KUKOSA

Atapiga morse key kama nilivyokwisha eleza huko juu ifuatavyo -- .... .- -. -.. .. ... .. -- .- .-. -.-. --- .- -. .- - .- -.- .. .-- .- -.- ..- .-. .. .--. --- - .. -- .- -.- .- --- -- .- -.- ..- ..- - .-. .... .----- --... --- -.-. - .----- ----. -... .. .-.. .- -.- ..- -.- --- .- mpokeaji akishapokea atatuma muda aliopokelea ambao ndiyo utakaojazwa kwa mtumaji pia.
Zinapolia hizo morse code, mpokeaji haandiki morse code bali huandika herufi zenye kusomeka moja kwa moja na kupeleka meseji hiyo ofisini.
 
Nina hakika asilimia mia moja hiki ulichoandika hapa asilimia 90 ya wana JF hawakifahamu kabisa.... Ishu za REVERSE call kwa mfano kwa kizazi cha sasa ni hekaya za kufikirika....

Mimi mwenyewe nilikuwepo enzi hizo lakini kuelewa nimebaki.....didididadido
 
Kwa wale wakongwe wa fani ya mawasiliano ya simu za upepo ama za waya waliokuwa waajiriwa wa EAAW(Shirika la ndege la Afrika mashariki),EAPTC(shirika la posta na simu la Afrika mashariki,EARW (shirika la reli la Afrika mashariki), Tanganyika Rifles(nowJWTZ) pamwe private sector 'wa enzi hizo' mlioko hai, tujikumbushe kidogo mambo ya mawasiliano yaliyotupatia sifa sana enzi za ujana wetu.

Baada ya mfumo wa internet na mawasiliano ya simu za kiganjani kuliteka soko la mawasiliano duniani, 'elimu pendwa' niliyoitaja hapo juu, sasa ninaona inapotea kwa kusahaulika ama kufa kifo cha kawaida.

Maana sijasikia tena chuo chochote kinachohangaika kufundisha telegraphy siku hizi.

Je mnakumbuka zile dot na dash tulivyokuwa tukiziimba vyuoni kama makasuku ili kukariri numeral, alphabets na panctuations zote kichwani wakati muda wa kozi hautoshi?

Je ulifaulu kuyakariri yote hayo ukiwa chuoni ama ulienda kupatia uzoefu maofisini?

Ulilipenda somo hilo ama uliona kama linakudhalilisha?

Je ulifaulu kupiga morse na kupokea kwa kasi ya maneno mangapi kwa dakika?

Na mengine mengi, kwa leo ngoja nitakumbusha kidogo mpangilio wa milio ya Roman alphabets na numeral kwa kuziimba dot na dash(. na -) ama 'di' na 'da'.

Ieleweke hapa kwamba, alphabet zote, numeral zote pamoja na punctuation zote na chochote kwenye mawasiliano ya telegraphy hutumika simble mbili tu, ambazo ni simble ya fullstop(.) Inayoitwa dot na kwenye morse code inaimbwa na kusikika 'di', kisha simble ya hyphen(-) inayoitwa dash na kwenye morse code inaimbwa na kusikika 'da'.

Haya tuwemo:

A.-(dida)
B-...(dadididi)
C-.-.(dadidadi)
D-..(dadidi)
E.(di)
F..-.(dididadi)
G--.(dadadi)
H....(dididi)
I..(didi)
J.---(didadada)
K-.-(dadida)
L.-..(didadidi)
M--(dada)
N-.(dadi)
O---(dadada)
P.--.(didadadi)
Q--.-(dadadida)
R.-.(didadi)
S...(dididi)
T-(da)
U..-(didida)
V...-(dididida)
W.--(didada)
X-..-(dadidida)
Y-.--(dadidada)
Z--..dadadidi

1.----(didadadada)
2..---(dididadada)
3...--(didididada)
4....-(didididida)
5.....(dididididi)
6-....(dadidididi)
7--...(dadadididi)
8---didi(dadadadidi)
9----.(dadadadadi)
0-----(dadadadada).

Somo litakalofuata, nitakuletea punctuations na kisha Telegraphy procedure.

Je wakongwe kweli mpo?

Nisije nikawa ninaongea na kujikumbusha peke yangu.

Mana dunia hii, miongo minne ikishapita ni miaka mingi sana, tegemea lolote kulisikia linalomhusu yeyote.
Mkuu ulikuwa TP&TC?
 
Nina hakika asilimia mia moja hiki ulichoandika hapa asilimia 90 ya wana JF hawakifahamu kabisa.... Ishu za REVERSE call kwa mfano kwa kizazi cha sasa ni hekaya za kufikirika....
Umetusaidia kusema big tunaona tu ma dididadida
 
Back
Top Bottom