Habar wapendwa
Kuna huyu dada angu ana miaka 25
Elimu kidato cha one
Amesomea utalii ngazi ya certificate
Anaomba muamsaidie kazi yoyote halali ambayo anaweza kujiingizia kipato
Anapatikana moshi kilimanjaro
Anaweza kufanya kazi mahali popote yupo tayar
Mawasiliano+255760119470
Habar yenu wapendwa tunahitaji
Matron (1) na Patron(1). Watafanya kazi kwenye shule ya hostel, shule ni ya serekali.
Shule ipo kilimanjaro wilaya ya moshi marangu-kilema, Opposite na maua seminary.
Sifa za Matron
Awe 30+
Awe awesomea ualimu au nursing
Awe mkali kwa watoto
Kusimamia watoto...
Nina fanya hiyo business muda mrefu sema nina uvivu wa kuandika tu ila anyway
Inategemea maeneo uliyopo pikipk pendwa ni zip kqa mfano huku nlipo sinoray ndio bike vijana wanazipnda
Mpya bei 2.65m
So unampaka mkataba wa 60weeks anakultea 70000 kila week
Kila kitu ni kwake akimaliza bike inakuwa...
Mbona hai wapole ulishawah kufuka turkey ww
Kila overstay lazima uilipie dola 15 siku utakapo fika Airport
Sasa just imagine ume overstay 50 days
Ni ww tu kuamua ujae gerezan siku 50 au ulipe fine yao uende kwenu
Mm sinaga utaratibu wa kuacha pesa kila siku
But
Nanunua gas
Mafuta ya kupikia 5L
Sabuni 5bar
Sukari 5kg
Nalipa umeme na maji
Then naacha 120000 matumizi ya mboga mwezi mzima
Ndio mana Diaspora ukiwaambia warud nyumbni hawakuelewi hata kidogo
Hapa usalam ni mdogo kama Fr.kitume nae anashambuliwa na kujeruhuwa Nan ndan ya nchu hii yupo Salam
Labda hao watekaji wenywe ndio wapo salama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.