Recent content by Kutinginya86

  1. Kutinginya86

    Kwa wenye Uzoefu na Biashara ya Vituo vya Mafuta [Fuel Stations]

    Hebu piga post https://www.jamiiforums.com/threads/hii-idea-naigawa-kwa-wenye-kuhitaji-kijana-pambania-fursa-usiwaze-kununua-gari-wekeza-katika-biashara.1951338/
  2. Kutinginya86

    Kilichomkuta Mwarabu aliyempiga kibao Sheikh Amri Abeid

    Sio ajabu Tena Hilo Ni dogo kabisa, Kumbuka Sheikh Amri Abeid Kaluta alikuwa Ni Muislamu wa Ahmadiyya Muslim Jamaat. Waislam wa Waahmadiyya wanaimani(itikadi) kuwa Nabii Isa/Yesu a.s hayuko Mbunguni Kama inavyoaminiwa na Waislam wengine (na wakristo pia) Bali Waahmadiyya wanaamini kuwa Nabii...
  3. Kutinginya86

    Utabiri wa Sheikh Yahya Hussein mwaka 2006 na Tanzania kuwa na Rais Mwanamke

    Uongo mtupu. Leteni huo ukurasa wa Hilo gazeti tuusome. Sio kutuketea ngonjera hapa baada ya kuwa tukio limeshatokea halaf ndo museme utabiri. Hakuna utabiri Kama huo
  4. Kutinginya86

    Utata wa siku 3 za Yesu na hesabu zetu

    Usha Naomba ushahidi wa hili Suala kuwa wayahudi walihesabu siku kwa masaa 12 na sio 24 Na Kama ni hivyo ina Maana Baadhi ya siku zilikuwa ni Usiku pekee bila mchana au mchana pekee bila usiku.
  5. Kutinginya86

    Utata wa siku 3 za Yesu na hesabu zetu

    Ikumbukwe kwamba wayahudi walikusudia Kumsulubisha YESU (kumuua juu ya Msalaba) ili kuithibitishia Jamii kuwa YESU sio ukweli bali ni Mlaaniwa, hivyo kwa maneno Haya ya YESU ambayo umeyanukuu yanatoa jibu kuwa Njama za Nitaka nife juu ya Msalaba hazita tumia badala yake NITAINGIA KATIKA MOYO WA...
  6. Kutinginya86

    Utata wa siku 3 za Yesu na hesabu zetu

    Kwa maoni yangu ni kuwa Bishara hiyo ya Yesu ilikusudia kuonesha kwamba YEYE YESU HATOUWAWA bali ATAINGIZWA KATIKA MOYO WA NCHI AKIWA BADO ANAO UHAI WAKE KAMA AMBAYO YONA ALIINGIA KWENYE TUMBO LA NYANGUMI AKIWA NA UHAI WAKE Na hiyo Ndiyo hali pekee inayoweze kuwa fananisha YESU na YONA kwenye...
  7. Kutinginya86

    Meseji iliyoniumiza mpaka nikashindwa kuijibu. Ushauri wenu jamani

    Haijalishi....Kuna watu ni under 18 Na wame umia
  8. Kutinginya86

    Ni John Okelo au Amri Abeid: mapinduzi

    Kwanza nikusahihishe. Yule wa Zanzibar hakuwa anaitwa Amri Abeid bali jina lake lilikie Amani Abeid Karume.....Amri Abeid ni mtu mwingine ambae alikuwa Meya wa Kwanza Muafrica wa Jiji la Dar es salaam, waziri wa kwanza wa Sheria baada ya Uhuru, Mbunge wa Kigoma Magharibi, Muandishi wa Kitabu...
  9. Kutinginya86

    Roho mbaya ya korosho isikie tu. Hadi jeshi limeshindwa

    Mzee kuhusu soko ilielezwa tutanunua Kila mwananchi 2kg.....Au amesahau Mkuu
  10. Kutinginya86

    Roho mbaya ya korosho isikie tu. Hadi jeshi limeshindwa

    Mzee kuhusu soko ilielezwa tutanunua Kila mwananchi 2kg
  11. Kutinginya86

    Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

    Acha watu wa discuss. Imani ya Kweli haiogopi kujadiliwa Ndio maana Mungu alituumba na Akili ili tuweze kujenga Hoja
  12. Kutinginya86

    Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

    Kwa fais Ahsante na hongera kwa kutuletea Uzi huu, bali kuna makosa makubwa ya kiuelewa juu ya Aya ya Qur'an uliyoinukuu. Kilichosemwa na Qur'an ni cha kweli bali ww ndiwe haujakielewa. Baadae InshaAllah nita leta ufafanuzi Kwa faida ya wana JF
Back
Top Bottom