Roho mbaya ya korosho isikie tu. Hadi jeshi limeshindwa

Huu ndiyo ugonjwa wake. Maamuzi haya ya jazba aliyafanya ili kumziba mdomo Zitto Kabwe
Chain ya korosho ni kubwa sana. Hakuwa updated kanisa..

Ukiacha kulipa wakulima, kuna wasafirishaji waliosafirisha korosho kutoka vyama vya msingi kwenda maghala makubwa, kuna watoa huduma/wazabuni waliosambaza vifaa na huduma mbalimbali Kwa vyama vya msingi kama kusambaza mizani mpya, kuservice mezani chakavu n.k hawa wote wanahitaji kulipwa, na si pesa ndogo ni pesa nyingi sana zinadaiwa na hawa watu.

Kukurupuka kumeyumbisha vingi sana, hata sekta ya mabenki kusini imeyumba.
 
Baada kuwang'oa akina Charles wawili ( waziri wa kilimo na yule wa viwanda). Naona korosho ina mpango wa kuondoka na mkuu wa operesheni korosho.

Maana haingii akilini jeshi limpe taarifa za uongo amiri jeshi mkuu kwamba wanaweza kusomba korosho zote na kuzibangua hata kwa meno, halafu wiki 2 baadaye wanaomba poo.

Hapa kichwa cha mkuu wa operesheni kinatafutwa na roho mbaya ya korosho.

Hivi kweli jeshi mlishindwa kufanya tathimini ya kina na kisha kumpa amiri jeshi mkuu mrejesho sahihi ya kwamba kazi ya kusomba korosho ni ngumu na itawashinda?

Sasa angalia fedheha hii. Kesho itaandikwa kwenye magazeti yote kwamba "Jeshi lashindwa kukusanya korosho na kuzibangua!"
Naona unahangaika sana na korosho mkuu!! Naona unaweweseka tu!
 
Hao hawajawahi kuwa wazalendo wa matendo, uzalendo kwao ni kusema ndio mzee na kupiga makofi.!
 
Baada kuwang'oa akina Charles wawili ( waziri wa kilimo na yule wa viwanda). Naona korosho ina mpango wa kuondoka na mkuu wa operesheni korosho.

Maana haingii akilini jeshi limpe taarifa za uongo amiri jeshi mkuu kwamba wanaweza kusomba korosho zote na kuzibangua hata kwa meno, halafu wiki 2 baadaye wanaomba poo.

Hapa kichwa cha mkuu wa operesheni kinatafutwa na roho mbaya ya korosho.

Hivi kweli jeshi mlishindwa kufanya tathimini ya kina na kisha kumpa amiri jeshi mkuu mrejesho sahihi ya kwamba kazi ya kusomba korosho ni ngumu na itawashinda?

Sasa angalia fedheha hii. Kesho itaandikwa kwenye magazeti yote kwamba "Jeshi lashindwa kukusanya korosho na kuzibangua!"
Weweeeeee!!,Jiwe ukimpa taarifa ya ukweli utapoteza kazi,ndo maana wanamdanganya kwakuwa anapenda misifa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeshi liachane na hii operesheni, Hili ni jambo purely la kiraia.Lisikubali kutumika kama chombo cha wanasiasa kutupia zigo kwa uvivu wao wa kutafuta solution za mambo ya kiraia.

Wananchi wa kusini sasa wanaliona jeshi kama chombo cha mabavu kandamizi chenye kutumika kunyang'anya mali yao badala ya kuwa ni chombo cha kulinda mali yao!. Wanasiasa wanaligombanisha jeshi na wananchi!.

Jeshi likumbuke kuwa lenyewe ni Jeshi la Wananchi!
 
Naogopa sana kukomenti kwenye mambo ya jeshi. Mnamkumbuka yule mwandishi alieandika kuhusu kifaru cha jeshi?
Acha uanalojia!
Wanazungumzwa akina Trump na majeshi yao makubwa sembuse 'wavunja tofali'


5/5.
 
Serikali ya sisiemu imeanza kulifanya jeshi lichafuke/kuonwa wa kawaida kama wadogo zao Polisi.

5/5.
 
Back
Top Bottom