Recent content by kurukuta

  1. K

    Asilimia 100% Leo mke wangu kanisaliti

    Hivi ukichepuka unazima Simu?mi nafikiri Hugo ilikuwa zamani sana
  2. K

    Hivi ndivyo serikali ya TZ itakavyoonekana baada ya 0ct. 2015

    UMEUMBUKA!Huyo Ndio raisi Sasa sio hao vimeo
  3. K

    Nimelazimika kuileta hii video hapa, Nisamehe CHADEMA

    i am not into politics but this is nothing but stupid video nothing important
  4. K

    Mpenzi wangu kaniibia kila kitu, katoroka

    Hahaha!nimeipenda hii
  5. K

    Huyu kijana wa jirani nimfanyeje? Kila msichana wa kazi wangu anampa mimba

    Naomba niseme wewe una macho Bali unatembea umefumba kama kipofu,WHY?umesema dhahiri kuwa ulishamsahau,mtu aliyewapatia binti zako wawili(hg kwa upande wako?another blindside of u)mimba umemsahau?wewe ni kipofu au juha kwa lugha nzuri,labda nikueleze kifupi yule binti wa pili alipofika ulipaswa...
  6. K

    Nilimthamini sana, kumbe ananiona mjinga, akaamua kunidhalilisha

    Pole Sana!safari bado ni ndefu still unahesabu semester,watu wanasomesha wanaachwa,wananunua magari wanaachwa wanajenga nyumba(Ufoo Saro)wanaachwa!kama hii ni safari basi wewe Ndio kwanza gari inasumbua kuwaka bado huko mbele kuna kujaza fuel,traffic,Milima mabonde hata ajali na kifo hivyo...
  7. K

    Nimeoa nina miaka mitatu, mama yangu na dada wanadai mtoto niliyezaa hafanani na mimi

    Nikijaribu kuunganisha matukio, nimemuoa mke wangu miezi miwili baada ya kumaliza chuo, na akiwa chuo bado akiwa mchumba niliwahi kuhisi ana mahusiano nje ya mimi, sasa yaani dah! hili jambo lina nitesa sana. "Kosa,inaonyesha ulimlazimisha ndoa haukuwa makubaliano hilo ni kosa kubwa sana ni...
  8. K

    Nipo katika mahusiano na wasichana sita

    It's getting too boring....underage wamejaa kuanzisha ujinga tu!I think ni sababu ya fake ID mtu haoni aibu kuandika ujinga.
  9. K

    Hivi Ugonjwa wa mama mkwe unanihusu kweli?

    POLE SANA! Hongera na ushukuru Mungu umeweza kutoa msaada hadi hapo ulipofikia,Pili kujibu swali lako,ugonjwa wa Mama Mkwe unakuhusu NDIO,nikiangalia tatizo kubwa kuliko yote Hapo ni ushirikiano kati ya wewe na mkeo,ni dhahiri hampo same team,Sasa kama ni hivyo mtashindwa hata kama ukiendelea...
  10. K

    Uzoefu wako tafadhali, mpaka anaenda kufunga ndoa alikuwa na ujauzito wangu

    Lengo lako ni Nini?Wewe si mzazi wa huyo mtoto,wewe ni mtia mimba in english sperm donator!Sasa kama unataka mtoto,swali ni unatakaje mtoto asie wako?mi nafikiri badala ya kuvuruga ndoa ya mtu asie na hatia baki tulia na mke wako muombe Mungu atakujalia wako.
  11. K

    Mchumba wangu anahitajika kuolewa

    Si kukurupuka nyie Ndio mnaopotezea muda mabinti wa watu ni dhahiri huna uwezo wa kumuoa la sivyo utaomba michango hadi jf baada ya Hapo maisha ya shida binti anaanza kujuta unaanza kuchapiwa,usiruke stage jiweke sawa kwanza unaonekana bado hujapevuka kwa kitendo cha kuishi kwa wazazi.
  12. K

    Kiwanja tulichonunua kumbe ni cha mpenzi wa zamani wa mke wangu

    Zungumza na mkeo,mwambie namna ambavyo unahisi,hakuna haja ya kuzungumza na huyo bwana huenda alimpa taarifa kawaida tu kuwa anauza kiwanja kwa nia njema sababu siamini kama wewe umefuta numbers za kila mtu mmekua kwa mahusiano na pia jua ya kwamba kwa sababu wameshakua kwa mahusiano Yule bwana...
  13. K

    Naomba ushauri wa kisheria juu ya huyu mwajiri fake

    Na kama huelewi unyamaze do you know how much Iam payed you bastard!
Back
Top Bottom