Kijaruba kipindi cha TV ambacho lengo lake nikutoa elimu ya mahusiano kwa ngazi ya familia nitaeleza kwa kifupi jinsi kipindi kinavyo kuwa kipindi kinafanyika ukumbini kinakuwa mtaalam saikoloji.na mwanasheria mzee wa sauti ya hekima lkn pia tunakuwa na muathirika wa mahusiano kutoka kwenye ndoa...
Ndugu mm ninani hata nionge sana ila tukumbuke chema chajiuza kibaya chajitembeza sasa kama lowasa ni chema muacheniatauzika hata msiposema mnapo sema sana tunaona kama mnatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa wacha tutafakari utendaji wake hali ya taifa hapalilipo watanzania wataamua
Naomba niseme kitu hapo kuna vitu vitatu hapo mosi kunakutoa burdani bila kujali inatoka wapi pili kutangaza mziki wa bongo hapa naweka mkato wajuu tatu kunakufanya biashara kwa mtindo utakao onekana unaweza kuleta mapene bila shida mkianza.kutangaza elimu za watu katika muziki mnaondoa maana
Nadhani ifike mahali selkali ichukue hatua stahili kuwasomesha madreva kuwaongezea uelewa kuhusu matumizi ya barabara kama sio tusubili kuwa vilema watalajiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.