ndugu usiamin malocker wala mlango coz funguo zakuchongesha ni nying xana unapoenda campus hakikisha umebeba bag la pc na km unaenda kula hakikisha rum yako kuna mtu ili umuachie na km hamna wakumuachia bora usubir wenzio warud nawe ndo uende
#kueni makin na ukiibiwa pc usitarajie kuipata bora ujipange kutafuta nyingine
Ndiyo maana mmepelekwa jkt,
mnashindwaje kuweka doria?
Wekeni ulinzi mkamate mwizi.
Nilitaka kusema kamateni mwizi mchome lakini roho wa Bwana akanikumbusha kwamba tusihukumu