Poleni na shughuri za ujenzi Wa taiga, naomba msaada Wa kujua ni hatua zipi napaswa kupitia pamoja na gharama ambazo natakiwa kuzilipa ili nipate hati kamili, kiwanja hicho nilikinunua kwa mtu kikiwa kimepimwa na kinaoffer hivyo nahitaji kupata hati.
Habari za majukumu wanaharakati, naomba kufahamu kama kampuni ya kutengeneza na kuuza Mashine za Tofari za Interlocking, Yenye makazi yake south África kama wana branch hapa tanzania, kama ipo nitawapata Vp, ninahitaji kufahamu bei za Mashine zas.
Habari za pilika wanaharakati ,poleni Na mapambano ,.naomba kufahamu mambo matatu kuhusiana Na tractor
1. Naomba kujua ni tractor Bora Na imara kwa Kilimo.
2. Gharama ya tractor kwa hapa tanzania au kwa kuagiza
3. Taasisi au kama kuna bank ambayo unaitoa mikopo ya matractor kwa hapa Tanzania...
Poleni na pilika za ujenzi wa taifa,naomba kwa anayefahamu jinsi ya kuwafuga Bata bukini,nilinunua Bata wawili jike na dume toka mwaka Jana mwezi wa Tisa lakini chaajabu mpaka leo hawajaanza kutaga .sijajua nimekosea wapi ,naomba msaada wa elimu namna ya kuwafuga ili waweze kuleta tija
Habari za mihangaiko members,
Naomba kufahamu kama mitihani ya ufundi ya VETA grade test /lever inaweza kumpa sifa mtahiniwa kuendelea na elimu za juu kama diploma, mpaka degree kwa gani ambayo amechukua asanteni.
Jamani hawa jamaa siwaelewi kabisa nilikuwa nimedhamilia kuingia ktk ufugaji lkn jamaa hawa wanakatisha tamaa nimelipia ng'ombe nikaambiwa nisubili wapandishwe sasa sijawapata kila nikiulizia wananiambia bado hawajapandwa sababu kilikuwa na kiangazi kikali,naombeni ushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.