Hawa DAFCO siwaelewi maana wananikatisha tamaa kwenye ufugaji

kumbwitu

Member
Apr 11, 2017
19
11
Jamani hawa jamaa siwaelewi kabisa nilikuwa nimedhamilia kuingia ktk ufugaji lkn jamaa hawa wanakatisha tamaa nimelipia ng'ombe nikaambiwa nisubili wapandishwe sasa sijawapata kila nikiulizia wananiambia bado hawajapandwa sababu kilikuwa na kiangazi kikali,naombeni ushauri
 
[quote uid=27237 name="jamii01" post=20924361]Biashara ya nguruwe uifugiw maporini au vijijini gharama ya matunzo au malisho ni ndogo..kwa mjini haina maslahi kupotezeana mda na kupoteza pesa zako..<br />Nakushauri fuga kuku walipa zaidi kuliko biashara ya nguruwe au ng'ombe.[/QUOTE]<br /><b> <font color="red"> Ng'ombe zinalipa mkuu, kama una mtaji. Usilinganishe biashara ya ng'ombe na nguruwe, kuku au ufugaji wa Samaki <br /><br />Ng'ombe wanalipa katika maziwa sana na bado ukichinja pia wanalipa sana <br /><br />Mfano ; una ng'ombe wako wa kisasa anatoa litre 10@siku <br />Litre 10* siku 300= litre 3,000 kwa mwaka <br />1 litre= Tshs1,500<br />3,000 litre = Tshs 4,500,000<br />Kwa mwaka unapata iyo apo <br />Aya toa nusu yake kwenye Madawa na muhudumu <br />Tshs 4,500,000*1/2= Tshs 2,250,000<br /><br />Ufugaji unalipa jamani </font></b>
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom