Poleni na shughuri za ujenzi Wa taiga, naomba msaada Wa kujua ni hatua zipi napaswa kupitia pamoja na gharama ambazo natakiwa kuzilipa ili nipate hati kamili, kiwanja hicho nilikinunua kwa mtu kikiwa kimepimwa na kinaoffer hivyo nahitaji kupata hati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.