Yes ni cheti mkuu! kwenye hizi kozi za Engineering kwa level ya Diploma kuna mfumo wa kuanzia NTA level 4 (Basic Technician certificate) kwa mwaka wa kwanza ,NTA level 5 (Full Technician certificate) mwaka wa pili na NTA level 6 (Ordinary Diploma certificate) mwaka wa tatu .
Labda kama Alitaka kusema Bachelor degree of Technical Education in Electrical and Electronics Engineering, Civil Engineering, mechanical engineering, etc
Kumbuka kabla ya TANESCO kukuwekea Umeme kuna form ulijaza na kuambatanisha michoro ya wiring ktk nyumba yako husika ambayo ulijumlisha na makadilio ya Load zote ambazo zitakuwa installed au kutumika katika nyumba yako hyo na surveyor wa TANESCO pia alikuja kufnya tathmini ili waje kukuunganisha...
Telecom kwa sasa soko lake la ajira limepungua sana so dogo itakuwa ameona aendane na upepo unavyotaka kuhusu Tz ya viwanda but naona ni vyema angeenda moja kwa moja kwenye kozi za engineering kama electrical, Biomedical, mechanical etc Ambazo znarelate na alichosoma Diploma kuendelea na Bach.
Soon mambo yatakwiva mkuu!! For more details kuna pdf ningeweza share humu sema imegoma kuattach kuhusiana na majina yaliyokuwa shortlisted kwa interview!!!
Hiyo kawaida mkuu halafu ujaelewa nilivyosema hauko wazi haimaanishi hakuna watakaofaulu !! Kwa maoni tu ni mtihani ambao kila mtu anakuwa na majibu yake kutokana na jinsi alivyolielewa swali akuna yale majibu ya directly kama upo kwenye field ya umeme nazani umenielewa mkuu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.