BARON99
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 4,718
- 5,315
Mkuu TAA uliingia operation au security?Daaah! Ilikuwa ndo Mara yangu ya kwanza kuchaguliwa kufanya written interview kupitia hyo system yao, nilichaguliwa ya TPA nilijiamini kweli sikutaka kusoma kitu kwa vile npo second yr chuo nkasema maswali ya diploma ayatonisumbua but nilichokikuta ktk pepa nilihisi nimeonewa nilijbu swali 1 nalo nlipata 18 mengne nilienda op,niliumia sana kuona mtu WA kwanza kascore 84.
Nikachaguliwa tena TAA nkatenga muda kupitia materials nashukuru Mungu Jana nimeingia nmejibu walau maswali 3 ambayo ninaufahamu nayo kidogo naamini ata kama sitochaguliwa marks zangu zitatofautiana na pepa LA kwanza na ntakuwa nimrjifunza kitu ila zile pepa sio ngumu hasa ukiwa unauzoefu nazo yaani umefanya zaid ya Mara 3 adi 4 kikubwa kutokata tamaaa mana uwoga nao unachangia wengi kufeli.

