Aliyeiona payroll ya August aweke hapa

Aliyeiona payroll ya August aweke hapa

Nyie wazee wa CRDB, bado mama hajafanya yake huko..?
Kuna Mzee wangu hapo yupo NMB kama mm Kila muda unaniulizia kama pesa zihaanza kuflow kwenye mifuko..
 
Najua ni haki ya Kila mtumishi, Ila ni kwa watumishi wenye zaidi ya miezi 12 kazini. Ajira mpya ambaye hajamaliza mwaka kazini na kuthibitushwa hastahili annual increment
 
Najua ni haki ya Kila mtumishi, Ila ni kwa watumishi wenye zaidi ya miezi 12 kazini. Ajira mpya ambaye hajamaliza mwaka kazini na kuthibitushwa hastahili annual increment
Kuna ongezeko lile tofauti na annual increment
 
Back
Top Bottom