watu hawatak kujua kwamba watapata nn,,,
wenye nch wamechoka na wame waka hasira so kwa hal kama hyo lazma iumize kchwa kwa ccm kwa ujumla,,,,
na weng wanakuja juu kwa kutetea matumbo yao rahasha hupasw kuwa hvyo kama kjana au mtu wa makamo mwenye nia na maendeleo
UKAWA NI MPANGO WA MUNGU