Recent content by kumbambiyu

  1. kumbambiyu

    Must listen music :2

    gangster paradise coolio hiphop ludacris ft jay z & nas anything Jay-Z fid Q temanoleji hatar tupu umo,,,,,,,,,:D:D:D:D:D
  2. kumbambiyu

    Eti TCU Wamesema Wanaofanya Second Round Wachague COURSE Tano, Je Ni Kwelii, Tusaidiane Jamani

    kama mtu second round umejaza koz moja ambayo remain capacity katka hcho chuo n zaid ya 50 haitaleta shida,,??? na pia kama ulikuwa umebadilsha coz kadhaa na kuiweka coz ya mwisho ambayo umeikubbali je zile ulzo badilsha hazta sumbua kwasababu kuna statement yao inasema first come first...
  3. kumbambiyu

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    msaada plz first come first saved wanamaana gan kwa sis tuliokosa vyuo,,,, na dilisha la second round linafungwa lin,,??
  4. kumbambiyu

    Tukikosea 2015 tutajuta milele! Nchi itazama

    tupo pamoja broo,,,
  5. kumbambiyu

    Tukikosea 2015 tutajuta milele! Nchi itazama

    ccm ameshndwa kula na kipofu,,, ameshndwa kutuboreshea elimu,afya,miundo mbinu,,,,, ifike pahala tuseme imetosha,,, UKAWA JUU
  6. kumbambiyu

    Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

    mbona sis hatukutambui wew kama CDM tunajua fika weng wanataka kupotosha iman ya watu weng kwa kuzngzia wao walikuwa CDM
  7. kumbambiyu

    Natafuta mwanamke wa kumuoa kwa ndoa, lakini awe tayari kunitafutia kazi, kunilipia ada

    ebu dadavua kiundan kabisa wew n mwanaume kwel kwanza,,,, na pia mume akijitokeza vp,,? coz naona umeshndwa kuish kiume bas utakuwa bint wa jamaa hakuna namna sas na mm nasema uwe bint wa jamaa tu eerh:D:D
  8. kumbambiyu

    Tanzania yetu

    hyo ndio Tanzania mzawavuv wa ngarawa mgen ameket na kombe la kahawa,,,,,
  9. kumbambiyu

    Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    mfama maj haish kutapatapa,,, kabla ujaninyooshea kidole, rud nyuma tazama maisha na viongoz wako wanaokuzunguka,,,,,
  10. kumbambiyu

    niameamua kusimama upande wa ukawa

    kamwe hautojutia maamuz yako
  11. kumbambiyu

    Hii sasa sifa lol

    burian ccm nenda salama
  12. kumbambiyu

    CCM imekufa kabisa

    watu hawatak kujua kwamba watapata nn,,, wenye nch wamechoka na wame waka hasira so kwa hal kama hyo lazma iumize kchwa kwa ccm kwa ujumla,,,, na weng wanakuja juu kwa kutetea matumbo yao rahasha hupasw kuwa hvyo kama kjana au mtu wa makamo mwenye nia na maendeleo UKAWA NI MPANGO WA MUNGU
  13. kumbambiyu

    Utabiri wa atakayekuwa rais mpya wa TZ huu hapa

    mtabil kajpange broo:D:D:D
Back
Top Bottom