Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Kwa jinsi mgao wa umeme unaoendelea sasa unavyonitesa, sina hamu na ccm. Mimi kuanzia udiwani ubunge hadi uraisi ni kwa UKAWA
KWELI KABISA.huu sio wakati wa kuichagua ccm.kuichagua ccm ni kulaani maisha yako na uzao wako.epuka laana.SASA ni wakati wa mageuzi.chagua LOWASA na wabunge wa vyama viundavyo UKAWA.hizo ndizo baraka.nifah kuirudisha CCM madarakani, ni sawa na kujichimbia kaburi na kufukiwa ungali bado hai...! Naichukia sana CCM
i love ccm
namkubali magufuli
KWELI KABISA.huu sio wakati wa kuichagua ccm.kuichagua ccm ni kulaani maisha yako na uzao wako.epuka laana.SASA ni wakati wa mageuzi.chagua LOWASA na wabunge wa vyama viundavyo UKAWA.hizo ndizo baraka.
Uloi nga mâché68;13708321 said:Hakuna jipya litakaloletwa na UKAWA. Miaka mitano watakuwa bize kuunda Serikali ya MAJIMBO na kugawana Vyeo. Tutajuta kuifahamu UKAWA. Waliochangia Kampeni nao watakuwa bize kujilipa pesa zao! ACHENI MCHEZO VIJANA.Kuichukia CCM ni sawa na.kumkataa Baba yako Mzazi kwa kuwa mlevi na kisha.kumchagua jirani awe baba yako.
Mpaka bunge linavunjwa lowasa naye alikuwa kundi hilohilo. Kashiriki kuwaumiza watanzania, hastahili kuchaguliwa.
Mimi nasubiri October tu nikate kiu yangu kwa kuchagua kiongozi wangu makini Lowassa.
Baada ya hapo nitakuwa na amani huku nikiwaombea CCM Mungu awape moyo wa ujasiri waweze kutuachia nchi yetu salama.
Wape nyumbu wenzako.Watanzania tunaitaji mabadiliko tu, naomba nkupe elimu hii kipindi Edo yuko ccm ili kuwa ni lazma afuate taratibu za ccm na kwakua ametubu dhambi na kujiunga na ukawa so analazmika kufuata matakwa ya ukawa upo hapo?? Msikalili maisha
ni bora iwe hivyo kuliko kuiacha ccm iendelee kunyanyasa raia,,kihalali au hata kiharam ccm iondoke... tumejuta miaka 54 uje ututishie miaka 5?..?Uloi nga mâché68;13708321 said:Hakuna jipya litakaloletwa na UKAWA. Miaka mitano watakuwa bize kuunda Serikali ya MAJIMBO na kugawana Vyeo. Tutajuta kuifahamu UKAWA. Waliochangia Kampeni nao watakuwa bize kujilipa pesa zao! ACHENI MCHEZO VIJANA.Kuichukia CCM ni sawa na.kumkataa Baba yako Mzazi kwa kuwa mlevi na kisha.kumchagua jirani awe baba yako.
Kura yangu ni kwa ajili ya kuiadhibu ccm kisawasawa bado naendelea kutafuta kura za kuizika kisawasawa nikimaanisha kura za kila ninaye juana naye na nisiye mjua Kimuelimisha ccm ilichotufanyia miaka 54 na kwa nini tiipumzishe na nashukuru vijana na wazee wananielewa nao pia wanaitaji mabadiliko mkuu akikisha na wewe una kura za ziada za kuiadhibu ccm kwa watu wanaokuzunguka
Wape nyumbu wenzako.
Heri yako unayetaka kugeuzwa.Sisi tunataka maendeleo.Tinga tinga @ work.CCM mbele kwa mbeleeee