Ni kweli, but ni chuo bora kwa walimu vichwa, wanafunzi wenye akiri nyingi, walimu wa udsm hawategemei mishahara, kazi yao kubwa ni research za world bank, eu,undp etc, walimu wanauwezo mkubwa kufanya consultancy na uwezo mkubwa wa kufanya research. Ondoa shaka ndio maana kinaongoza africa...