mtvbase
JF-Expert Member
- May 22, 2014
- 1,243
- 563
- Thread starter
- #21
Kuwa na cpa sio kigezo sikuiz wapo graduate wa cpa wengi tu wanavoluntee wengine crdb
Tatizo nchi yetu haieshimu professional kazi ambazo wanatakiwa wafanye professional hata ambaye sio professional anafanya ili mradi mtoto wa mjomba.Mimi wakati nafanya module E nimesoma na chief accountant wa wizara mbili wanawake wanakuwa wahasibu wakuu wa wizara lakini sio professional kibaya zaidi wahasibu wa chini yao wana CPA