Recent content by KUKULU- KAKALA

  1. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Ameongeza Ushawishi Wa Tanzania Barani Afrika na Duniani Kote Kwa Ujumla wake. Ingekuwa Ni Nchi Ndiye Angekuwa Rais Wake

    Ila CCM wametuchafulia nchi Kila Sehemu Sisi ndo bad example ya wizi na uuaji wakati wa uchaguzi. MUNGU aturehemu
  2. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania UTABIRI WANGU LIGI KUU 2026/2027.

    Tunza lisiti hii mkuu
  3. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania UTABIRI WANGU LIGI KUU 2026/2027.

    Hata Hivyo Sisi Yanga na Simba hatumtaki
  4. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania Wapi napata mabalo ya mitumba ya bidhaa hizi

    Njooo inbox ninafanya Hiyo biashara
  5. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Bakwata si ni tawi la CCM upande wa dini au..... Sasa kwanini wasiwe na ushawishi Kwa sisiemu
  6. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania UTABIRI WANGU LIGI KUU 2026/2027.

    Bingwa - YANGA / SIMBA SC. Timu zitakazo shuka Daraja 1. MBEYA CITY FC 2. FOUNTAIN GATE FC MSIMAMO KAMILI 1. Simba sc point 80 2. Yanga sc point 80 3. Azam FC point 68 4. Singida black stars point 63 5. TRA united point 48 6. JKT Tanzania point 47 7. coastal union point 43 8. Mashujaa point...
  7. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

    Hii post watu wanaweza his ni mlango door unaozungumziwa Kumbe ni mlango mwingine
  8. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    Nakuja mm kwako nitatumia vichache
  9. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania Sex unaipa asilimia ngapi kwenye mahusiano yako?

    We dada na jua lote hili Unaweza Njunjundu na Mbususu
  10. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania Ni mwanaJF gani ambaye unafikiri akipewa mamlaka kuanzia sasa anaweza kuiongoza nchi ya Tanzania?

    Paschal Mayalla Pascal Mayalla
  11. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania Ni viwanja gani vya mpira hapa Tanzania mchezaji akipiga mpira unatokezea nje ya jukwaa yaani nje kabisa ya ukuta

    Sokoine ipi ambayo mpira unatoka nje!???
  12. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania Wanafiki wakubwa Tanzania ni wakaguru wanapatikana Kijiji cha Berega

    Tatizo lao hawajasoma Shule... Wengi wao Wako gairo ni Wana roho mbaya kweli... Just imagine Kuna Binti alimuua jamaa ambaye alimlea toka amefeli Chuo Uko Hadi akajipata na akaja kumsaliti na mkaguru Mwenzake ndani ya nyumba ya Mwanaume jamáa akafa Kwa pressure.... Na ni Omba Omba kiasi...
  13. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Ko waliokukula walikuwa ni Bibi ZAKO au!??? Mbona hao ujaja kutusimulia kuhusu wao
  14. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania Civilian-Coin: Yesu kristo sio MUNGU na alithibitisha yeye mwenyewe kuwa sio MUNGU lakini Afrika na Italia zimeng'ang'ania uongo.

    Yohana 1:1-5, 14 (KJV) Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya...
Back
Top Bottom