Mwanamke huyo ana umri wa kufanya maamuzi? Simu ile uliinunua kwa jina lako? risiti za manunuzi unazo au ulimkabidhi?
Kama kweli uliinunua, risiti iliandikwa kwa jina lako na unazo unaweza ripoti Polisi kama umeibiwa.
Naona hii ni Kampuni ya mijini tu na haituhusu watu wa vijijini tena hata mimi yenye ni miwili au mitatu! Baada ya matangazo mengi nilipoenda Morogoro mjini nilijaribu kutafuta laini yao. Hata wauzaji wa laini za mitandao mbalimbali waliniona kituko!
Wakifunga mitandao ya hapa tutayaanika maovu yao kwenye mitandao ya kimataifa. Yaelekea hata siri ya makampuni ya mawasiliano kupandisha bei ya vifurushi ni hawahawa kina Nape.
Maneno meeengi yasiyo na maana! Ukweli utabaki ulivyo, upinzani bila TUME huru utabaki kuchaguliwa na CCM wapi pa kushinda na wapi lazima CCM washinde!
Makundi uliyosema ni ya kusadikika na ni wehu tu watakaokuelewa. Uzi huu umebuniwa Lumumba kuwaghilibu wananchi.
Ulitaka CHADEMA wafanye nini? Hawana Polisi, Usalama wa Taifa, Jeshi n.k.
Sheria mlizojizunguushia ni za kulinda uhalifu kama huu. Wahalifu hawa ndani ya serikali walikuwa wakisubiri CHADEMA waamdamane wawafanyie uharamia ikiwa ni pamoja na kupigwa, kukamatwa, kufungwa kwa maelekezo toka...
Aliyemteua anazingatia sheria na Katiba? Uzoefu umeonyesha ni msomi anayenunulika, ilikuwaje kwenye kesi ile ya Mtikila dhidi ya Jamhuri iliyomalizwa " kisiasa" na jopo la Majaji na wataalam wa Sheria huyu akiwemo! Poleni mnaotarajia mapya toka kwa Bwana huyu anayeonekana waziwazi kuwa mchumia...
CHADEMA wako smart. Wanamfahamu mwenye nguvu aishie gizani anayefanya uhalifu wa aina hii, wa kuteka, kuua, kuwatia kwenye viroba binadamu na kuwatupa. Kwa hali ilivyo kungekuwa na hata chembe ya shuku juu ya uhusiano wa CHADEMA au ingekuwa watawala wangekuwa kweli hawajui Ben aliko CHADEMA...
Hakuna mantiki yoyote ni kujipendekeza tu! Rais ni mtu kama wewe, anaweza kukosea ikiwemo kukurupuka, kuropoka kudanganya na hata kuumiza.
Tundu Lissu ni mwanasiasa. Kutamka hivyo si jinai, yuko katika upinzani wenye na ya dhati ya kikatiba ya kuiondoa kidenokrasia serikali iliyoko madarakani...
Inawezekana, lakini kwa asilimia kubwa ndiyo uhalisia. Kuna mama katika historia ya maisha yangu alikuwa akipenda kukaa karibu na banda la mbuzi ili "aburudike" na harufu! Alikoma mara baada ya kujifungua. Inatubidi kuwaelewa wenzetu. Nampongeza mleta uzi huu kwa kuonyesha anajali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.