Recent content by kudath omar

  1. kudath omar

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    MAKAPUKU MNADHANANI MLIVYOKWAMA NINYI KILA MTU NAE KAKWAMA😀😀😀😀
  2. kudath omar

    JamiiForums Tanzania Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    Kwahiyo wewe ndio yule tuliekuwa tunasubiri
  3. kudath omar

    JamiiForums Tanzania Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    Kwahiyo wewe ndi
  4. kudath omar

    JamiiForums Tanzania Shuhuda ya Mzee Sharif Kwezi: Mfugaji wa Ng'ombe Anayetengeneza Zaidi ya Laki 3 kila Siku na Milioni 9 Kila Mwezi! 🐄💰

    Huyu mzee kwezi ndo yule mwenye shule ya KWEZI PRIMARY
  5. kudath omar

    JamiiForums Tanzania Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

    Ndo niltaka kuuliza na mie....jamaa akimpata wakili mzuri kila kitu chake kinarudi... Ila tu ajue hiyo ni vita, akusanye silaha zake zote. Mengine ni ile tu kutokujua taratibu na kuogopa saana askari... Mimi kuna jamaa alikuwa ananidai baada ya kukodi gari lake, nikayumba kidgo nikashindwa...
  6. kudath omar

    JamiiForums Tanzania Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

    Weee tulia hayajakukuta....unadhani kwanini wazee wetu walidumu na bibi zetu.
  7. kudath omar

    JamiiForums Tanzania Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

    Hapo linapigwa kombora lisilomdhuru, anapigwa kombora moja lakumtuliza tu akili yake...yaani anakusahau kabisa, hakufuatilii, hakusumbui, hakudhuru, ukimwambia jambo anakusikiliza.. The same to me, niliachana na baby mama watoto watatu..aliniandama akanitoa kwenye kajumba kangu, akanivurugia...
  8. kudath omar

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

    ACHA HIYO NG'OMBE HARAKA SAANA, THEN NJOO INBOX NIKUUNGANISHE NA KABINT KABIIICHII KAKIZIGUA
  9. kudath omar

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Dar es Salaam: Mchakato wa ufuatiliaji simu zilizoibiwa kupitia Vituo vya Polisi una ‘harufu ya michezo michafu’

    Mimi nishawahi kushuhudia, kuna bint yetu alitoroka shule akaiba simu ya bibi yake, ilikuwa dodoma kondoa. Tulipoenda polisi tulitoa 50,000 tukaitrack simu yake, na baadaye tukatoa tena 50,000 kuitrack namba ya huyo mtu aliekuwa kamtorosha.. Tuliwakamatia temeke mikoroshini
  10. kudath omar

    JamiiForums Tanzania Airtel inazidi kutanua soko la Unlimited internet, Vodacom na Tigo wakiendelea kushupaza shingo watastuka soko lishamezwa

    Yaani we unataka kusemaje, watu wasiuze routers kwa kuwa kuna kundi la watu masikini..!? Halafu ambacho hukijui (au unakijua ila unajipa uchizi usiokuwa nao) pamoja na uwepo wa routers hizo bando za buku buku zenu bado zipo... router sio ya kila mtu, sasa wewe mtu huna kazi ya kukuhitajia...
  11. kudath omar

    JamiiForums Tanzania Airtel inazidi kutanua soko la Unlimited internet, Vodacom na Tigo wakiendelea kushupaza shingo watastuka soko lishamezwa

    Hao watanzania sasa, wanavyozinunua kwa pupa hizo router, 😀😀 hiwezi kuamini maneno yako...
  12. kudath omar

    JamiiForums Tanzania Songwe: Mdude Nyagali aachiwa kwa dhamana na Mahakama leo baada ya kusota siku 15 Mahabusu

    Hata usijisumbue kujua, uelewa wako mdogo.
  13. kudath omar

    JamiiForums Tanzania Ameitiwa kazi Dodoma bila mkataba, je aende?

    N imependa huu umaliziaji
  14. kudath omar

    JamiiForums Tanzania Meya Kinondoni Mnajenga Msikiti wa Kudumu Coco Beach

    Kwani we hujui kama mlimani city kuna msikiti..!?
Back
Top Bottom