Recent content by ksheku

  1. ksheku

    NACTVET wabadilishe utaratibu wa utoaji wa matokeo ya wahitimu wa mwaka wa tatu

    nauliza aliyesoma ufamasia diploma akapasi kwenda chuo kikuu kuna kozi gani nyingine anaweza kuchukua tofauti na ufamasia
  2. ksheku

    Natafuta mbegu za chia (Chia seeds)

    nenda lin care super market njia panda ya wazo Tegeta zipo kibao
  3. ksheku

    Yaaaalah! Wandugu! Hali mbaya sana, msaada wa haraka unahitajika

    hii ni ya kweli ilisikika redio press power ilikua ngumu sana kuisikiliza
  4. ksheku

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    maji kiwalani imekuwaje watu wanatumimia maji ya mashimo machafu tulijua tumeshatoka huko mnaturudisha huko .sasa wiki ya 3 hakuna maji wapemba nao walishaacha kuuza maji.hali ni mbaya na inatisha .hamtoi taarifa kama kuna shida gani plz kabla yakuandamana kwenda kwa Awesso tunaomba tujue shida nini
  5. ksheku

    Kwanini mshahara haujawahi kutosha hata uongezewe kiasi gani? Waajiriwa tupeane mbinu za ku-save

    Sawa Ni kukopa bank Ila uwe na malengo wengine tumejenga kwa mshahara huo huo na tuaitwa wenyenyumba
  6. ksheku

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Maji mnafungua kwa kubeep kiwalani?leo wiki hamna maji
  7. ksheku

    Wastaafu wanaolipwa pensheni na Hazina kuhakikiwa

    Ni kweli hata mzazi wangu alikuwepo huko ila Sasa ametangulia mbele ya haki
  8. ksheku

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Wakazi wa kiwalani Sasa ni wiki ya tatu mmekata maji bila taarifa yoyote Kama Kuna tatizo gani mkumbuke mmewatoa watu kwenye visima vya wapemba mkatuhakikishia maji yatakuwepo tunaomba taarifa tupewe tafadhalli
  9. ksheku

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Dawasco kulikoni kiwalani mmetuondoa kwenye maji yetu ya visima mkatuletea yamgao na saa nyingine hayapo kabisa tuambieni Kuna shida gani tujue
  10. ksheku

    Wakuu naomba mnielekeze huyu anaweza kusoma au kupata shahada?

    CBG anaEEDE hiyo D ni ya biology mvulana dv 3:14
  11. ksheku

    Wakuu naomba mnielekeze huyu anaweza kusoma au kupata shahada?

    Na aliyepata dv 3:14 eeed afanyeje ni mwanetu
Back
Top Bottom