Kipenseli
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 800
- 1,050
Habari zenu wana JF? nisiwachoshe kama mnavyojua leo Baraza la Mitihani hapa nchini limetangaza matokeo ya kidato cha sita. Mungu ni Mwema mimi ni mmoja wa waliopokea matokeo hayo vizuri maana nilikuwa mmoja wa wahitimu wa kidato cha sita mwaka huu.
Ila huzuni yangu ni kwa best amepata three ya 16 na tulikuwa na mipango ya pamoja hata kusoma chuo kimoja
Swali langu...Huyu mtu anaweza kusoma program yeyote ili kupata degree na kama haiwezekani anatakiwa afanyeje?
Nawasilisha
Ila huzuni yangu ni kwa best amepata three ya 16 na tulikuwa na mipango ya pamoja hata kusoma chuo kimoja
Swali langu...Huyu mtu anaweza kusoma program yeyote ili kupata degree na kama haiwezekani anatakiwa afanyeje?
Nawasilisha