Recent content by koyyote

  1. koyyote

    Naomba kujuzwa ubora wa hizi Racket za kuulia mbu

    Unatumia brand gani mkuu na ulinunulia wapi?
  2. koyyote

    Kuna watu wanadharau watu wa Arusha kwa kumuogopa huyo mtoto Ally Dangote

    Kipindi cha panya road watu wa daslam tulisemwa sana umu na hao machalii. Lazma na sisi tuseme
  3. koyyote

    Naomba kujuzwa ubora wa hizi Racket za kuulia mbu

    Wandugu umofia kwenu. Napenda kufahamu labda mimi sio mtunzaji au nakosea sehemu. Izi racket za kuulia mbu za kuchaji na umeme mbona kila nikinunua hazina maisha marefu, yani ata mwezi hautoboi zinakufa. Nakosea kwenye utunzaji, manunuzi (nanunua feki) ama zenyewe ndio zilivyo hua hazidumu...
  4. koyyote

    Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

    Sasa sijui kule Niger itakuwaje.. Maana ndiye tulimtegemea ata provide ulinzi dhidi ya vibaraka wa mabeberu Sent from my SM-G988B using JamiiForums mobile app
  5. koyyote

    Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

    Ripoti zinasema Yevgeny Prigozhin pamoja na wasaidizi wake 10 akiwemo Dmytriy Utkin ambaye pia ni muasisi mwenza wa Wagner Group wamefariki baada ya ndege walipokuwa wakisafiria kuanguka uko Russia Sent from my SM-G988B using JamiiForums mobile app
  6. koyyote

    Changamoto ninayo pitia ni kua na mkuu wa kazi ambaye kwanza hashauriki

    Comrade hii ni private company, recently employed tena mkuu wa kitengo na ni target based employment lakini ukimsikiliza au kufanya nae kazi unashindwa elewa vigezo gani vilivyotumika muajiri.
  7. koyyote

    Changamoto ninayo pitia ni kua na mkuu wa kazi ambaye kwanza hashauriki

    Mzee baba, ni kijana tu around 35 yrs wala sio mtu mzima na niamimi mimi, muda anao sana tu, ila ni attitude ya kiboss na kupata kazi kwa pande.
  8. koyyote

    Changamoto ninayo pitia ni kua na mkuu wa kazi ambaye kwanza hashauriki

    Habari za weekend wakuu. Niande moja kwa moja kwenye hoja. Umeshawahi kua na boss au mkuu wako wa kazi mwenye akili ndogo kuliko wewe? Binafsi sijisifii kua nna akili sana, ila changamoto ninayo pitia ni kua na mkuu wa kazi ambaye kwanza hashauriki na usitoshe naweza kusema mwenye uwezo mdogo...
  9. koyyote

    Mkataba wa kuendesha Bandari za Tanzania wa DP WORLD ya Dubai hautazihusu Bandari za Zanzibar

    Mama Tibaijuka kasema kutokana na mkataba Zanzibar nayo imo, sasa mbona mnatuchanganya.
  10. koyyote

    Benki ya Dunia yamwaga Bilioni 800 za DMDP2 kujenga Barabara Dar es Salaam

    Lile soko la Mabibo lisikose tafadhali, linatia kinyaa
  11. koyyote

    Freeman Mbowe amepitwa na wakati, lakini ndiye Mwanasiasa 'Smart' pengine kuliko wote hapa Nchini

    His longevity is unmatched, nadhani ni mpinzani aliye survive mda mrefu zaidi akiwa 'on top'
Back
Top Bottom