Katika maandiko Matakatifu tunatakiwa sana tuwe waangalifusana katika matumizi ya ulimi. Ulimi unaweza kujenga au kubomoa. Juzi juzi Mhe. Rais alitamka kuwa Fyatueni watoto fedha za kuwasomesha zipo. Haya ni matumizi ya ulimi ambayo labda aliyatamka kwa matani lakini inawezkana watu wakatafsiri...
Kwa siku za karibuni kumekuwapo na wimbi la kusimamisha watumishi kila kona ya nchi. Leo utasikia Mkuu wa Mkoa kamsimamisha fulani, Mkuu wa Wilaya kamsimamisha fulani, Mkurugenzi Mtendaji kmsimamisha fulani. Sote tunajua kuwa kuna taratibu za kuwasamisha watumishi lakini cha ajabu sheria...
Utekelezaji wa TASAF awamu ya tatu umeanza kwa kubaini kaya maskini na kuwagawia fedha. Binafsi sikubaliani na malengo ya TASAF awamu ya tatu kwa kuwagawia kaya maskini fedha.
Kwa ushauri wangu ni kwa nini fedha hizi zinazogawanywa kwa kaya maskini zisitumike kujenga miundo mbinu kwa ajili ya...
Poleni sana wanafunzi, Walimu na wanajumuiya wote wa Nanja kwa kuunguliwa na shule yenu. Nimesikitishwa sana kitendo hicho kiovu kwa kuwa mchango wangu katika ujenzi wa shule hiyo inafahamika. Nimeshiriki kujenga mabweni, madarasa na matenki ya maji. POLENI SANA.
Serikali ilirudisha makusanyo yote ya mapato yakusanywe na Halmashauri yenyewe.
Chanzo cha maegesho ya magari hapa Mwanza kinakusanywa na akina mama na wanaume walioajiriwa na Halmashauri kwa mkataba.
Unapoegesha gari lako na baada kumaliza shughuli zako ili uondoke unatakiwa ulipe na upewe...
Pole sana lecturer wangu H. Kitilya. Ukiwa pale UDSM 1978 - 1980 ulitufundisha kwa weledi mkubwa sisi wanafunzi tuliokuwa kwenye Kitivo cha Biashara na Uongozi na hasa masomo ya Principles of Accounting and Managerial Accounting. Kila kitu kina mwanzo na mwisho. Yote haya yataisha. Nimalizie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.