darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,208
- 18,226
Ahahaah h ni kweli mkuu hiyo njia ina vumbi sana JK alijaribu kuweka lami wanamazingira wakafungua kesi kupinga ujenzi wa barabara ya lami inayopitai mbugani.Nadhani serikali imeshinda tunasubiri JPM aweke.Ni short cut nzuri sana.Ila ukipata zile gari za tour guide unainjoy safari zaidiHiyo costline akishuka kwenye gari anakua kama aliwekwa kwenye buti. Ila ataenjoy mbuga zote kubwa kuanzia Ngorongoro mpaka Serengeti.