Hiyo talaka ya bakwata nenda kaithibitishe mahakamani! Ikapewe uzito..na kile kitendo cha kumfikisha mahakamani kitamueka Sawa Kwa asilimia Fulani na umueleze muheshimiwa Hakim yote anayokutendea huyo mwanaume mbele yake! baada ya hapo km kuna uwezekano WA kuhama mkoa hama!
Wanaume wenye akili...
Kabisaaa...au km sio eneo Hilo bas ni wapo katika miji midogo midogo km vile Tanga kwamaana hata suala la usafir kumuendea huyo mwanamke inakuwa ni rahisi, na pia huyo mwanaume Hana kazi ya kufanya!
Jitafakarini wapi mnakosea maana mwanamke ni kiumbe ambacho mnaweza kukicontrol vizuri Tu na kikawa vile unavyotaka wewe!
Sa cjui mnafeli wapi...poleni Sana aisee
Pole sana vinauma kiukweli hasa ukiwa umempenda mwanaume kidhati! Km ni waislamu pangeni akuoe mke wa pili! Nyote mtakuwa mnahaki ya mume wenu!
Km ni wakristo basi Imani itawabana! Sema na moyo wako jikaze kuachana nae! Muombe Mungu atakupa aliesahihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.