Recent content by Koppe

  1. Koppe

    Ushauri: Nimechoka na hii hali ya kuachwa na wanaume

    Ndg yangu uko mwilini mno, wakati vita yako iko rohoni simama kwenye maombi ya toba na ufanyiwe deliverance......kila kinachotokea kwenye ulimwengu wa macho ya nyama ni matokeo ya yale yanayoendelea ktk ulimwengu wa Roho....fanya hima issue sio kabila wala dini ni mapatilizo ya maagano na roho...
  2. Koppe

    Uso kwa uso na mpenzi wa zamani kwenye nyumba ya kupanga

    Boss mpango wa vyoo vya uswazi kukutana toi imo sn tuu.
  3. Koppe

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Sio kumfunga mkuu ile ni kumchapa (kuanzia Cap) Bournemouth.
  4. Koppe

    Prof. Ndalichako: Kiama kinakuja wanaotumia vyeti feki makazini

    Mkuu sisi tunakudai hicho Original cha form four sasa itabaki kazi kwako wewe na Mwajiri wako kuhusu mustakabali wa ajira yako lkn nijuavyo mimi hapo mzee tayari unakuwa disqualified....... Hata kwa court watakupeleka maana forgery ni kosa la jinai kisheria.
  5. Koppe

    NBA Season 2015 - 2016: Special thread

    Sure, i think game 2 itamalizwa mapema zaidi
  6. Koppe

    NBA Season 2015 - 2016: Special thread

    Was disappointed na game ya leo, we led them first half tukashindwa kulinda quarter mbili za mwisho nadhani itakuwa mbaya zaidi kama tukipoteza game 2
  7. Koppe

    Kassim Majaliwa: Niambieni ni nchi gani duniani Bunge huonyeshwa kwa saa 8?

    Mkuu wa meza alipata na muda wa kupiga simu muda wa kazi kuchangia hoja no actually kupongeza wale vijana wa mawingu kwa jinsi wanavyopendeza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. Koppe

    Ushauri: Nimpe zawadi gani mke wangu?

    Pamoja na kuendelea kumheshimu na kumpenda, mtafutie mkufu simple wa dhahabu kama appreciation yako kwake.
  9. Koppe

    Malawi Impound Tanzanian Boat, Arrest 16 - Magufuli Deploying 3 Ships On Disputed Lake Malawi

    Ni dhahiri anakwenda mahakamani kutushitaki akirejea uvamizi wa mali yao(the way they treat this matter). Ule mkataba wa kikoloni unaleta shida leo hii, pole pole namna hii tutashikana mashati.
  10. Koppe

    Malawi Impound Tanzanian Boat, Arrest 16 - Magufuli Deploying 3 Ships On Disputed Lake Malawi

    Kwa mfano huo huo hebu tujuze kuhusu ziwa Victoria ni la nani hasa?
  11. Koppe

    Wanasheria wa lady JD wamtaka Gardner kuomba msamaha kwa maneno yake ya kidhalilishaji

    Inapofika issue za kesi na mahakama, hakuna jambo dogo....usishangae underdog anatoka triumphant...mambo ya kisheria sio rahisi kiivyo kama tunavyochukulia. Tuwape muda tutapata matokeo.
  12. Koppe

    Nauza battery za Laptop

    Kiongozi una betri ya HP EliteBook 8440p
  13. Koppe

    Tanzia: Mmiliki wa hospitali ya Massana, Prof Lema afariki dunia

    Taifa limepoteza moja kati ya Ma-Gynecologist mashuhuri na wenye uzoefu mkubwa sn, amesaidia wengine sana the late Dr. Lema.
  14. Koppe

    Mnaoibeba Yanga hamuisaidii, mnaiumiza...

    Kwenye soka retaliation (kurudishia) hilo kosa la kadi nyekundu hakuna mjadala ktk hilo.
Back
Top Bottom