Mmiliki na daktari mkuu wa hospital ya Massana profesa lema hatunaye tena
Afia akiwa hopsital ya rabinsia tegeta wafiwa wote poleni
Ni ndg yake alikuwa anaitwa Raphael Lema, bila shaka alishafariki nayeProfesa lema aliyewah kuwa mkurugenz wa Muhimbili? Kama ndiye. Alinifanyia major operation 05/02/ 2001 pale muhimbili. Alinisaidia sana daima ntamkumbuka
Mama tafsiri ya neno " bingwa wa wanawake " ni ambiguous. N,way may Lord rest his soul in an eternal light.Pole Sana mama na wtt, duh ulale kwa Amani Dr Lema umenihudumia vizuri sana kwa wtt wane, Mungu mpokea Dr alikuwa nauchaji wa Kazi, jamani Tz imepoteza bingwa wa wanawake
Dah! Hiyo ni mumo kwa pale!Mama tafsiri ya neno " bingwa wa wanawake " ni ambiguous. N,way may Lord rest his soul in an eternal light.
R.I.P Godbless Lema
Taifa limepoteza moja kati ya Ma-Gynecologist mashuhuri na wenye uzoefu mkubwa sn, amesaidia wengine sana the late Dr. Lema.Pole Sana mama na wtt, duh ulale kwa Amani Dr Lema umenihudumia vizuri sana kwa wtt wane, Mungu mpokea Dr alikuwa nauchaji wa Kazi, jamani Tz imepoteza bingwa wa wanawake
hata Rabininsia alikua anamiliki yeye
ASANTE SANA KWA UFAFANUZIMkuu kuweka kumbu kumbu sawa hapa mmiliki wa Rabinisia ni Dr. Elisania L. Lema