Habari Wakulu
Mimi ni kijana mtanzania,nimehitimu shahada yangu ya kwanza BAED (linguistics and literature) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Niko hapa nikiomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kusaidia nikapata kazi aweze kunisaidia
Masomo yangu ya kufundishia ni kama nilivoainisha hapo juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.