Mbinguni hawaoi wala kuolewa..mwili pamoja na sex organs vyote ni mali ya udongo...ila kuzimu ndo tunasikia watu wakioa majini-ila ni wale watu wanaotoka duniani na kurudi duniani(shetani huwadanganya) ...Baada ya kifo ni hukumu yaani hutaona bikira wala ghorofa, ni moto mweusi tii na funza...
Mbinguni hawaoi wala kuolewa..mwili pamoja na sex organs vyote ni mali ya udongo...ila kuzimu ndo tunasikia watu wakioa majini-ila ni wale watu wanaotoka duniani na kurudi duniani(shetani huwadanganya)...Baada ya kifo ni hukumu.
Hapo juu Invicible ametuambia Manyerere alitumika sana 2005, hata leo anatumika, kaanzisha tuhuma dhidi ya Ludovic ndani ya siku moja Ludo kakamatwa mh! JF imepiga kelele dhidi ya shehe Ilunga(tisho la kweli) hajakamatwa...Bashe akitoa maelezo anatuhumu vyombo vya usalama kuhusika...Mjengwa...
Shida yangu kwa membe ni kujificha nyuma ya mtandao, gesi ya mtwara sikumsikia kabisaa, na hapa ndo ilikuwa kipimo. Ni vizuri tuanze kumsikia tumjue vinginevyo yale yale ya jk, tumeliwa.
kipis alama ya huduma ya kwanza ni tofauti na ule wa kanisani, wa kanisa ni mrefu kwenda chini na huduma ya kwanza ni kama alama ya kujumlisha +,pole kwa kupotoshwa..
We crufix acha porojo hapa, mbona Pengo ameshaongea sana siku za nyuma, ni wakati wa kanisa kulaani na hata kutoa angalizo tu. Pia kuna udhaifu (kanisa) ktk kuwalinda mapadri huko visiwani, kanisa lichukue tahadhari lenyewe kama serikali imerojeka pia znz kuna harufu ya alqaeda (ghailani).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.