Recent content by komunisti

  1. komunisti

    JamiiForums Tanzania Baada ya kukosa kuungwa mkono na kanisa CHADEMA yageuka na kuwatukana Waandishi wa Habari na wasanii

    CHADEMA tuko imara hatuteteleki kwa kelele za mbwa koko
  2. komunisti

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Hii kihasibu imekaaje?😄😄
  3. komunisti

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mechi zimekuwa nyingi mno kipindi hiki.Humu tungeshikamana tukatembea na rollover,kwa wingi wetu humu hatuwezi shindwa pata odds 3 kwa siku .
  4. komunisti

    JamiiForums Tanzania Hapa utamwaga chakula au utakausha?

    Namwaga
  5. komunisti

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Naona makato tayari aisee kesho mambo fresh
  6. komunisti

    JamiiForums Tanzania Njama za kuhujumu Marathon ya CHADEMA zaanza kupangwa

    Na mm kesho nitachangia
  7. komunisti

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mbona makato bado
  8. komunisti

    JamiiForums Tanzania Nimepata Vision: Hispania Bingwa World Cup 2026

    FRANCE BINGWA
  9. komunisti

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Roll over imeishia wapi?
  10. komunisti

    JamiiForums Tanzania Tiketi zashuka bei 60% baada ya Portugal na USA kuaga mashindano

    Uko sahihi kiongozi,Ureno alizingua ilitakiwa aongoze kundi
  11. komunisti

    JamiiForums Tanzania Kwa Katiba ya CHADEMA, John Heche hahusiki na Hela za Chama, Wahusika ni Ofisi ya Katibu Mkuu na Baraza la Wadhamini

    CHADEMA ishikilie makende ya mafisadi hapohapo hakuna kufanya maridhiano na wauaji.CCM ifanye maridhiano na CHAUMMA,UDP,ACT,CUF na vingine vilivyoshiriki UCHAFUZI MKUU.
  12. komunisti

    JamiiForums Tanzania Katambi: Nchi jirani zinachochea machafuko ili tushuke kiuchumi

    Uchochezi na kuvuruga amani unasababishwa na CCM kwa kuiba uchaguzi
  13. komunisti

    JamiiForums Tanzania Hudumieni wake zenu

    Sasa we Erick elfu 30 ndo ya kumdhalilisha dada wa watu?
  14. komunisti

    JamiiForums Tanzania Mlowo: Moto wa Katiba Mpya na Free Lissu walipuka

    Msijisahaulishe CCM wanaiba kura,bila kukomesha tabia hii CHADEMA haitofurukuta
Back
Top Bottom