Hapa utamwaga chakula au utakausha?

Hapa utamwaga chakula au utakausha?

Ulivyo na kinyaa lazima utaongezea chembechembe za ugaidi kwenye chakula.

Kwani hawawezi kugongea mayai kwenye chombo kingine ndio wakamimina kwa chakula?
Ndivyo inavyotakiwa kugongea mayai pembeni, hata ukiwa unagonga mengi inatakiwa kuwa na vyombo viwili. Shida ni tunakuwaga na haraka haraka na kulizoea jiko.

Hivi unajua kupika hata kidogo kweli wewe? ulipika lini mwisho?
 
Ndivyo inavyotakiwa kugongea mayai pembeni, hata ukiwa unagonga mengi inatakiwa kuwa na vyombo viwili. Shida ni tunakuwaga na haraka haraka na kulizoea jiko.

Hivi unajua kupika hata kidogo kweli wewe? ulipika lini mwisho?

Kunae jiko siku hizi napika balaa.
 
Back
Top Bottom