Recent content by Komeo Lachuma

  1. Komeo Lachuma

    Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

    JANABI ANA TATIZO KISAIKOLOJIA. HAIJALISHI KASOMA WAPI AU ANA CHEO GANI. SIYO MZIMA KIAKILI.
  2. Komeo Lachuma

    Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

    ANA TATIZO KIAKILI
  3. Komeo Lachuma

    Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

    JANAB ANA UTOTO FLANI WA KUTAKA KU TREND.
  4. Komeo Lachuma

    Kwanini Paul Makonda anautafuta wokovu sasa kwani ametenda dhambi gani inayomtafuna?

    Hakuna mkubwa anakaa kuwaza wanaume wanafanya nini. Hiyo ni tabia ya Mademu tena wa uswazi.
  5. Komeo Lachuma

    Kwanini Paul Makonda anautafuta wokovu sasa kwani ametenda dhambi gani inayomtafuna?

    NYIE MADOGO MNAPATA WAPI MUDA WA KUKAA KUWAFIKIRIA WANAUME? VIJANA WA KINONDONI MNA SHIDA SANA. AKINA JUMA LOKOLE.
  6. Komeo Lachuma

    Kwanini Paul Makonda anautafuta wokovu sasa kwani ametenda dhambi gani inayomtafuna?

    UNGEJIKITA KUTAFUTA PESA. MAMBO YA NGOSWE MWACHIE NGOSWE. NYIE VIJANA WA KINONDONI HAMPO BUSY KABISA. MNAPATA WAPI MUDA WA KUTAFAKARI WANAUME?
  7. Komeo Lachuma

    Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

    Mimi si muefeso na si msukuma.
  8. Komeo Lachuma

    Hivi ladies especially wa Tanzania huwa mnatuchukuliaje wanaume ambao hatuna sauti nzito?

    Unaweza kuta huyo jamaa siyo riziki. Mwanaume halisi hawezi uliza hili swali
  9. Komeo Lachuma

    Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

    Hawa madogo wapo sekondari hawajui mambo ya kazi yalivyo.
  10. Komeo Lachuma

    Familia ya Hayati Magufuli: Tumeacha muda ujibu, hatutajibu mtu yeyote

    Chawa huwa mnakuwa na hasira sana. Ni nini shida? Njaa? Wewe utakuwa wale wa vyeti fake. Ndo kutwa kucha mnalalamika. Na mkiguswa kidogo mnatokwa na povu zito jeusi. Plea Bargain hii alikuwepo Magufuli? Unaona unavyodhirisha ukilaza wako na njaa ya chakula na akili?
  11. Komeo Lachuma

    Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

    Kazini nanyanyasika sana. Pamoja na kuwa nina jina ambalo si la kikafir ila ubara wangu umekuwa kama kikwazo kwao. Hapa mimi nmekuja kufanya kazi na ninajituma kiasi kuna wakati Boss anasema bila kuficha kuwa mimi ni mchapa kazi mzuri. Sina ukaribu naye yeye ni Raia wa kigeni. Anaona kazi...
  12. Komeo Lachuma

    Familia ya Hayati Magufuli: Tumeacha muda ujibu, hatutajibu mtu yeyote

    Oooooh.... Kumbe ukikiri makosa inakuwa si makosa tena? Hatari sana.
  13. Komeo Lachuma

    Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero

    Haya mahusiano kwa kweli hayakuwa na tija kwangu. Nikitaka K nalipia yeye akitaka MBO_ o Nalipia. Yaani napigwa ndani nje. Sikuona faida. Binti nimemfahamu ndani ya siku mbili tu tayari anaanza kunipiga vibomu. Mara anaumwa, mara mama yake anaumwa. Jana ananiambia mtoto wake anaumwa. Yaani...
  14. Komeo Lachuma

    Handeni kuna fursa ya Glocery

    Yaani wewe kuwa mlevi unataka mtu aje kukufungulia sehemu ya kunywea? Fungua yako acha kuwaingiza watu mkenge.
Back
Top Bottom