Recent content by Komeo Lachuma

  1. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Marekani yamaliza 65% ya makombora kwenye vita ya Iran

    Nmecheka sana. Huyo dogo kakaa kwa shemeji yake kasimuliwa na sheikh ubwabwa na kutengenezewa kwenye AI kaja kuanzisha uzi....
  2. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Kwenye maisha epuka kuwa na ukaribu na watu aina ya Issa Tambuu

    Mbea Dada Chakubimbi
  3. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Kama Chadema hawataki Maridhiano CCM sii iliriadhane na Vyama 18 vilivyopo. Kuna haja gani ya kumsubiria "Mwenzao" waliyemfunga

    sijui kama wewe unaona kuna kubeza hapo. unapaswa uwe na utulivu wa akili kunielewa.
  4. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Kwenye maisha epuka kuwa na ukaribu na watu aina ya Issa Tambuu

    Wanawake mnajuana. unavyoandika unaandhika kama wote tunawafahamu nyie ni akina nani.... au ni sehemu yenu ya umbea na kufuatiliana. mi nikejiuliza huyo tambuu ni nani.. mpaka sasa sijapata majibu anyway ngoja sisi wanaume tuwaachie uzi wenu. mje msutane hapa
  5. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Kama Chadema hawataki Maridhiano CCM sii iliriadhane na Vyama 18 vilivyopo. Kuna haja gani ya kumsubiria "Mwenzao" waliyemfunga

    Nimemsikia samia akisema wanamsubiria mwenzao anatafakari mambo kadhaa. Na hawa wengine nmewaona wana furaha wakitabasamu kuwa pale. Sasa hawa si wapo tayari? Kuna Chauma, ACT, CUF,TLP,NLD,NCCR n.k kwa nini CCM na samia wasiamue tu kuridhiana na hawa mpaka wamsubirie Lissu? Je hawa wengine...
  6. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania FT: Singida Black Stars 1-2 Simba | CECAFA Kagame Cup | Julai 31, 2026 | 2:00 Usiku

    Kwa hiyo ngara ndo mbumbu
  7. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Hallelujah! Nchimbi Ameokoka, Bwana Asifiwe!!!?

    Ulinzi kupewa si jambo la kumlinda abaki ndani humo humo
  8. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Nimeacha kabisa kumwamini Mwanamke hata kidogo

    Tayar
  9. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Nimeacha kabisa kumwamini Mwanamke hata kidogo

    Hiii inaweza fanya watu wasioe
  10. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Nimeacha kabisa kumwamini Mwanamke hata kidogo

    Inasikitisha san
  11. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Hallelujah! Nchimbi Ameokoka, Bwana Asifiwe!!!?

    Akijiuzulu anapoteza kinga nyingi na yanaweza mkuta yaliyomkuta Polepole. Asijiuzulu abaki humo humo....hilo la kujiuzulu simshauri hata kidogo. Abaki ndani ndo vizuri zaidi.
  12. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Nimeacha kabisa kumwamini Mwanamke hata kidogo

    Uyu dada namfaham sabab alisoma nami shule Level nlimwacha kidogo madrasa. Akaja olewa na mshkaji ambaye tulikuwa naye ofisi moja. Kwenye harakati za mtu mweusi. Wamefanikiwa kupata watoto watatu saSA. Katika watoto watatu hao mmoja tu ndo wa jamaa wawili wa mtu mwingine. Jamaa kagundua kube...
  13. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Angalau sasa nimejipata naweza tena kuwa na Demu. Nimeishi kwa mateso sana Mwananyamala

    Uswahilini kuna changamoto sana. Watu wanakaa maeneo ambayo si sahihi kama hapo wamekaa namna hiyo huwezi fanya mambo yako kwa amani sababu watu wanakusikiliza na kukuangalia. Sasa anasema unaharibu watoto hao watoto wanajua we ukiingiza mali unaifanyaje?maana ni wakubwa sasa
  14. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Dr. Nchimbi kaniacha kinywa wazi

    Hicho kinywa kipo wazi saza tunaweza ingiza ndizi au tango...kirahisi kabisa
Back
Top Bottom