Wanawake mnajuana. unavyoandika unaandhika kama wote tunawafahamu nyie ni akina nani.... au ni sehemu yenu ya umbea na kufuatiliana. mi nikejiuliza huyo tambuu ni nani.. mpaka sasa sijapata majibu anyway ngoja sisi wanaume tuwaachie uzi wenu. mje msutane hapa
Nimemsikia samia akisema wanamsubiria mwenzao anatafakari mambo kadhaa. Na hawa wengine nmewaona wana furaha wakitabasamu kuwa pale.
Sasa hawa si wapo tayari? Kuna Chauma, ACT, CUF,TLP,NLD,NCCR n.k kwa nini CCM na samia wasiamue tu kuridhiana na hawa mpaka wamsubirie Lissu?
Je hawa wengine...
Akijiuzulu anapoteza kinga nyingi na yanaweza mkuta yaliyomkuta Polepole. Asijiuzulu abaki humo humo....hilo la kujiuzulu simshauri hata kidogo. Abaki ndani ndo vizuri zaidi.
Uyu dada namfaham sabab alisoma nami shule Level nlimwacha kidogo madrasa. Akaja olewa na mshkaji ambaye tulikuwa naye ofisi moja. Kwenye harakati za mtu mweusi.
Wamefanikiwa kupata watoto watatu saSA. Katika watoto watatu hao mmoja tu ndo wa jamaa wawili wa mtu mwingine.
Jamaa kagundua kube...
Uswahilini kuna changamoto sana. Watu wanakaa maeneo ambayo si sahihi kama hapo wamekaa namna hiyo huwezi fanya mambo yako kwa amani sababu watu wanakusikiliza na kukuangalia. Sasa anasema unaharibu watoto hao watoto wanajua we ukiingiza mali unaifanyaje?maana ni wakubwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.