Chawa huwa mnakuwa na hasira sana. Ni nini shida? Njaa? Wewe utakuwa wale wa vyeti fake. Ndo kutwa kucha mnalalamika. Na mkiguswa kidogo mnatokwa na povu zito jeusi. Plea Bargain hii alikuwepo Magufuli? Unaona unavyodhirisha ukilaza wako na njaa ya chakula na akili?
Kazini nanyanyasika sana. Pamoja na kuwa nina jina ambalo si la kikafir ila ubara wangu umekuwa kama kikwazo kwao.
Hapa mimi nmekuja kufanya kazi na ninajituma kiasi kuna wakati Boss anasema bila kuficha kuwa mimi ni mchapa kazi mzuri. Sina ukaribu naye yeye ni Raia wa kigeni. Anaona kazi...
Haya mahusiano kwa kweli hayakuwa na tija kwangu. Nikitaka K nalipia yeye akitaka MBO_ o Nalipia. Yaani napigwa ndani nje. Sikuona faida. Binti nimemfahamu ndani ya siku mbili tu tayari anaanza kunipiga vibomu.
Mara anaumwa, mara mama yake anaumwa. Jana ananiambia mtoto wake anaumwa. Yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.