si mnasemaga maisha kibongobongo, huanza na miaka hiyo 40, sasa imagine umejipata ukiwa 40 yako kibindoni kweli.....hautapasuka kwa mishipa ya ubongo....
Na this time, kila kiongozi anajipigania. huwezi sikia zile ntantalila za kuwajali wakulima.
huku kwenye kilimo ukipata fedha mara moja amishia mitaji yako kwenye uwekezaji mwingine.
kuna mambo, aliyakalia kimya.sana enzi za mwendazake lakini haimzuii kuungama na kujutia kwa kusema uwazi kama njia yake ya kushusha matokeo ya dhambi zake.
labda kama kuna namna ya kuwasaidia makazi yao yawe bora.
hembu fikiria mtu aliyejenga kwa taabu na kwa muda mrefu tu,ili apate pa kujisitiri. then aambiwe akarabati kisasa zaidi au ahame jiji, yamkini inakuwa sio poa.
wakishirikishwa kwa ruzuku na elimu watajenga tu. ila ikumbukwa hata huko...
Hivi, kuna mwanaume aliyewekwa ndani na kimada, mambo yakaenda mrama, kisha mwanaume huyo akadai apigwe pasu kwa pasu?
nyakati, nyingine wanaume hupaswa kuwasoma wanawake zao, mapema kimkakati, hii itasaidia kutokuweka kila kitu bayana. mwanamke wa ukweli, hapotei.... we cheza na hisia zake...
bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi. kumbuka kuna chanel, mtu unaambiwa kabisa kasome ili uwekwe mahala fulani. mwenzangu na mie jitafakari, unaacha kazi wewe, ila wanaumia ndugu zako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.