Nimepoteza password ya email, nimejaribu kutafuta nikaambiwa niweke namba ya Simu niliyoitumia kipindi nafungua email bahati mbaya namba pia nimeisahau.
Naomba msaada kwa wajuzi nifanyeje?
Hujui nini unazungumza, mdogo wangu wa mwisho huko ndo CO na ni mwajiriwa tayari, akaacha kuendelea na shule akaenda kupiga kazi, Inaonekana una access ya kujua email au majina ya watu, nakumbuka umewahi kucomment kweny post yangu moja hivi kwa kunipa hongera ya kuajiriwa na Tamisemi na...
Niheshimu, mimi sio miongoni mwenu. Mdogo wangu wa mwisho ndo CO na tayari alikuwa MD2 but akapata hizi kazi za Tamisemi akaona aende kupiga kazi then atarudi kumalizia shule yake. Mimi sio miongoni mwenu nyia maGP.
Huyo jamaa ni professional arrogant, tayari ameshaniita CO pale juu, jinga sana hili. Mdogo wangu wa mwisho ndo ana hiyo fani na alikuwa MD2 sema amepata ajira hizi za Tamisemi za juzi, ameenda kupiga kazi kisha atamalizia shule yake, mimi nilishapita huko kitambo, nilishakaimu hadi nafasi ya RMO.
Wachezaji muda mwingine huwa wanajituma kwasababu ya presha ya mashabiki, mashabiki wa Yanga ni wapole mno na timu ikifanya vibaya wenyewe wanaitetea timu yao so wachezaji hawahisi presha yeyote, msimu wa 5 huu unaenda hawana kikombe chochote cha maana, klabu bingwa Africa wametolewa kwenye...
We kweli wa mbagala, yaani kila kitu kipo wazi, na mabadiliko ya kuwatambua waliosoma degree ya Clinical Medicine yamefanyika mwezi wa 7 km sijakosea, upo nyuma sana mkuu.
CO to MD ni miaka 8, ushauri angalia isije miaka ya CO ikafanana au ikaizid ile ya MD, hao Nacte huko diploma level wana balaa lao, kuna mshikaji alisoma CO miaka 6.
Huwezi kukaa hospital kitengo chochote usiguse damu, dharula ni nyingi hospital na utatakiwa kusaidia sehemu yoyote na muda wowote, achana na afya soma kitu kingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.