Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Angalau wewe una mwanga. Katika ufundishaji kuna ngazi zake. Na katika vyuo kuna matabaka.
i. Vyuo vyote ambavyo vinatoa diploma, kada zake ni Tutors. Na Tutor ni yule ambaye ana Bachelor Degree.
ii. Vyuo vinavyotoa degree, kada zake ni Lecturers na Lecturer lazima awe na PhD. Chini yake ni Assistant Lecturer (Masters) na juu yake ni Senior Lecturer (PhD with publications, Research and Consultancies). Associate na mwisho Full Prof.

Kwa vyovyote vile ni utovu wa nidhamu Prof kufundisha NTA level 4. Imagine mtu mshahara wake ni million 7 afundishe Clinical Medicine ambapo unapata karibu MD wanne! Aidha huyo Prof atakuwa anawaconfuse wanafunzi. Likely usisahau CO ni CBET na maprof wengi hii kitu ni ndoto kwao. Usisahau kuwa Moja wapo ya takwa la CBET ni kuwa mkufunzi lazima awe mbobezi kwa vitendo katika industry na kwa mantiki hiyo, mtu wa kufundisha CO lazima awe ashaboboa katika kutibu wagonjwa. Na CO wanaenda katika zahanati, ulishawahi kuona Prof anatibu katika zahanati huko igunga?

In fact hata CO anaweza kufundisha TU NTA level 4. Hawezi kufundisha NTA l5. Niendelee au?
Sahihi kabisa hiyo maana yake ni kuwa CO anafanya kazi kama daktari na ndio maana katika masomo yao mara nyingi wanafundishwa na MD.

Haiwezekani CO somo kama Physiology,au pathology au pediatric au gynacelogy eti aje afundishwe na mtu asiyekuwa anafanya katika hizo field.

Na hiyo ni ishara tosha kwamba Co anaenda kufanya kazi ya udaktari ndio maana anafundishwa mambo hhayo.
 
Udaktari ni academic professional ambayo mtu hupewa na mamlaka za vyuo vikuu pekee........dakatari ni MD,BVM na PhD tu.
Hii ni maana moja ya udaktari,na kwa maana hii uliypitoa wewe hakuna atakayepingana nayo hapa kwa sababu huo utakuwa ni udaktari wa level ya elimu na Co Hapaswi kujiita hivyo kamwe kwa sababu hajafikia levo ya elimu hiyo.

Lakini kwa maana zingine za udaktari kama ilw inayosema

"Daktari ni mtu ambaye amequalify kutibu watu(diagnosis na treatment) kwa maana hii naye Co anastahiki kujiita kwa sababu mwisho wa siku ataqualify kutibu watu.

Screenshot_20211028-185632_Samsung Internet.jpg
 
Medical attendant kuwa na malengo sawa na CO hakumfanyi M.A kua CO
Bila shaka levo zao za elimu ni tofauti kabisa na hiyo ni katika tofauti,hakuna anayessema kwamba medical attendant ni sawa na Co kwa sababu levo zao ni tofauti.

Tunaheshimu sana hizi taratibu,hakuna anayesema kwamba MD ni sawa na CO.

Hapa tunachosema ni kwamba hata CO kwa kazi anayofanya anastahiki kuitwa daktari.

Kwa sababu katika maana za udaktari maana yake ni mtu aliyethibitishwa kujua ugonjwa na kutibu watu.

Kila fani ina diploma yake.

Ualimu una diploma na degree.
Uuguzi una diploma yake
Na udaktari una diploma yake ndio maana CO anaenda kusoma MD kwa sababu hiyo ni career moja,na sio kwamba nesi akasome MD,hili kwa kutumia common sense tu linafahamika.

Na kozi hizi zotw ukiwa n diploma lazima ukienda degree upige miaka kamili.
 
Co sio Daktari, Ukitaka udaktari lazima usome Md
Mwenye diploma ya ualimu pia aktaka degree lazima asome degree ya miaka mitatu kamili.

Hii kuwa na diploma yake hakumfanyi asiitwe mwalimu hata siku moja,na hivyo hivyo mwenye diploma ya clinical medicine atatakiwa pia kwemda degree kikamilifu na hiyo diploma yake haimfanyi asiwe ni daktari.
 
Mwenye diploma ya ualimu pia aktaka degree lazima asome degree ya miaka mitatu kamili.

Hii kuwa na diploma yake hakumfanyi asiitwe mwalimu hata siku moja,na hivyo hivyo mwenye diploma ya clinical medicine atatakiwa pia kwemda degree kikamilifu na hiyo diploma yake haimfanyi asiwe ni daktari.
Sio kwa tafsiri hiyo mtu mwenye diploma ya pharmaceutical science anaitwa fundi sanifu dawa na sio mfamasia, kada ya ualimu na kada za afya ni tofauti mimi nakumbk tangu nikiwa chuo mwaka wa 1 Mds' waliokuwa wanatufundisha walituambiwa kada ya udaktari official mpk Bachelor na ndo maana Graduate wa Md anaanza na Dr, mfno Dr Fadhil Md,Mmed na Co ni Bwana Slatcher udaktari tunaitwa tu huku bush kwasababu ndo tulipo na sehemu zingine tukitibu na ndo maana ht kwenye Hospitali za wilaya kuna chumba cha Tabibu no 1, na chumba cha daktari No 1, hiyo sio Inferiority ila ni alarm kuwa ukitaka official kuitwa Dr mpk usome Bachelor ni tofauti na Mwalimu wa shule ya msingi, sekondari. Kuitwa Daktari haimaanisha ndo official name yko ila inategemea na mazingira ulipo mfano mimi ni Co ila natambua mimi sio Daktari ni tabibu na nafanya kazi Tamisemi na ht siku moja sijawahi jitambulisha naitwa Dr slatcher maana natambua sijafikia hiyo level. Mimi ni Mganga kiongozi wa Zahanati Bw. Slatcher japo kila siku ya Mungu naitwa Daktari na wanakijiji na nimeshafanya kazi Dar, Pwani, Mwanza, Morogoro, Geita naelewa whats next

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Sio kwa tafsiri hiyo mtu mwenye diploma ya pharmaceutical science anaitwa fundi sanifu dawa na sio mfamasia, kada ya ualimu na kada za afya ni tofauti mimi nakumbk tangu nikiwa chuo mwaka wa 1 Mds' waliokuwa wanatufundisha walituambiwa kada ya udaktari official mpk Bachelor na ndo maana Graduate wa Md anaanza na Dr, mfno Dr Fadhil Md,Mmed na Co ni Bwana Slatcher udaktari tunaitwa tu huku bush kwasababu ndo tulipo na sehemu zingine tukitibu na ndo maana ht kwenye Hospitali za wilaya kuna chumba cha Tabibu no 1, na chumba cha daktari No 1, hiyo sio Inferiority ila ni alarm kuwa ukitaka official kuitwa Dr mpk usome Bachelor ni tofauti na Mwalimu wa shule ya msingi, sekondari. Kuitwa Daktari haimaanisha ndo official name yko ila inategemea na mazingira ulipo mfano mimi ni Co ila natambua mimi sio Daktari ni tabibu na nafanya kazi Tamisemi na ht siku moja sijawahi jitambulisha naitwa Dr slatcher maana natambua sijafikia hiyo level. Mimi ni Mganga kiongozi wa Zahanati Bw. Slatcher japo kila siku ya Mungu naitwa Daktari na wanakijiji na nimeshafanya kazi Dar, Pwani, Mwanza, Morogoro, Geita naelewa whats next

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Mkuu hivi umepata admission university mwaka huu
 
Wadau mm nasemaje, CO na MD wote madaktari.. CO ni msaidizi wa MD sasa huwezi kuwa msaidizi wa MD kama wewe umesomea Ualimu au nyadhifa nyingine. Kama hautaki bas andamana..

Hawa ndio madaktari wetu kwenye dispensary Level na kwenye vituo vya Afya na wanaupiga mwingi sana. Maisha ya watanzania wengi hatuwezi kwenda muhimbili, mloganzila, KCMC, Bugando etc labda tatizo likiwa kubwa sana. Ko tunaishi nao na wanafanya kazi kubwa sana..
Wanangu COs nyie ndo madaktari wetu popote mlipo kunyweni soda..

Hawa ma MDS wengi wao wapo shallow sana, wanapenda title kubwa ni sawa, miaka mitano sawa hatujakataa but most wako Empty headed in real practical na katika taaluma ya kutibu haya magonjwa Popular ya kwenye jamii.

Mara mia mtu wa kuheshimiwa ni Specialist, pathologist, Dentist, Dermatologist etc Hawa wengine wamesoma vitu vingi ila ni Basic(rasha rasha) sana
 
Ikitoka hapo tuhamie kwa AMO na MD
Ikiisha na hiyo ije MD na Bachelor of Clinical Medicine
Hii nchi ngumi sana

Barchelor ya clinical medicine washainafkia siku nyingiii hadi imefutwa ....chuki
 
Wadau mm nasemaje, CO na MD wote madaktari.. CO ni msaidizi wa MD sasa huwezi kuwa msaidizi wa MD kama wewe umesomea Ualimu au nyadhifa nyingine. Kama hautaki bas andamana..

Hawa ndio madaktari wetu kwenye dispensary Level na kwenye vituo vya Afya na wanaupiga mwingi sana. Maisha ya watanzania wengi hatuwezi kwenda muhimbili, mloganzila, KCMC, Bugando etc labda tatizo likiwa kubwa sana. Ko tunaishi nao na wanafanya kazi kubwa sana..
Wanangu COs nyie ndo madaktari wetu popote mlipo kunyweni soda..

Hawa ma MDS wengi wao wapo shallow sana, wanapenda title kubwa ni sawa, miaka mitano sawa hatujakataa but most wako Empty headed in real practical na katika taaluma ya kutibu haya magonjwa Popular ya kwenye jamii.

Mara mia mtu wa kuheshimiwa ni Specialist, pathologist, Dentist, Dermatologist etc Hawa wengine wamesoma vitu vingi ila ni Basic(rasha rasha) sana
Hujui unachokiongea.......ushallow wa mtu si wa taaluma.
Hata huelewi specialist maana yake nini na purposefully yake ni nini
 
Hii ni maana moja ya udaktari,na kwa maana hii uliypitoa wewe hakuna atakayepingana nayo hapa kwa sababu huo utakuwa ni udaktari wa level ya elimu na Co Hapaswi kujiita hivyo kamwe kwa sababu hajafikia levo ya elimu hiyo.

Lakini kwa maana zingine za udaktari kama ilw inayosema

"Daktari ni mtu ambaye amequalify kutibu watu(diagnosis na treatment) kwa maana hii naye Co anastahiki kujiita kwa sababu mwisho wa siku ataqualify kutibu watu.

View attachment 1989889
CO hajaqualify kutibu watu.......kwenye hio document kwa wenyewe huko, tafsiri uliyoitoa hakuna kitu kinaitwa CO.
Kwa ndege ulaya wanaunda,nawe unaunda yako ya mabox unaiita ndege si ndio?
 
Sahihi kabisa hiyo maana yake ni kuwa CO anafanya kazi kama daktari na ndio maana katika masomo yao mara nyingi wanafundishwa na MD.

Haiwezekani CO somo kama Physiology,au pathology au pediatric au gynacelogy eti aje afundishwe na mtu asiyekuwa anafanya katika hizo field.

Na hiyo ni ishara tosha kwamba Co anaenda kufanya kazi ya udaktari ndio maana anafundishwa mambo hhayo.
Ni Sawa ila Kama hospitali zilivyo ambapo mgonjwa akianza anaanzia dispensary, kama kesi yake ni kubwa, anapelekwa Kituo cha Afya; na ikishindikana, anaenda Hospitali ya wilaya, mkoa rufaa ….. kwa mtindo huo CO ni Mganga kama ni zahanati. Kiukweli ndiye mtu wa kwanza kumuona mgonjwa na kesi yake ikiwa ni complicated kwake anampeleka kwa MD, MD yakimshinda anampeleka kwa mwenye Master’s etc. CO ni frontier wa udaktari, hivyo kila mmoja CO na MD ana nafasi yake katika utabibu. Inakera kuona MD anamdharau msaidizi wake ambaye ni CO au CO kujilinganisha na Boss wake MD. Lini sikio lilizidi kichwa?
 
CO ni Paramedical na sio Daktari.
Vijana mna matatizo! Nani kasema CO ni daktari? Daktari lazima awe na degree na CO hana bali ni tabibu ingawa wote ni waganga. Hapo juu nimemjibu mpuuzi aliyesema CO hajaqualify kutibu watu, maskini hajui hata kulikuwa na RMA enzi hizo na walitutibu vijijini
 
Back
Top Bottom