Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,155
- 27,150
Ndio mkuu, tupo...
Ndio mkuu, tupo...
Samahani mkuu, hii account yako itakua imedukuliwa...🤔Kwa hiyo shida ilikuwa nini?
Akukojolee wewe?
Mkuu una nyege mbaya sana.
Hapana.Samahani mkuu, hii account yako itakua imedukuliwa...🤔
Sawa mwali, naona Jf yooote imejaa matajiri kasoro mimi na wewe tu...😜😜Hapana.
Ni mimi mwenyewe Karucee.
Nisimsingizie mtu.
Aisee tukazane tutajirike .Sawa mwali, naona Jf yooote imejaa matajiri kasoro mimi na wewe tu...😜😜
Mwenyewe imenishangaza sana mkuu.Kumbe kuna wanajf wanakaa nyumba zisizo na vyoo ndani?
Kweli tuko sawa nac wanyama mwitu.Mimi kuna siku nilwahi kumfichia mdada mmoja kopo lake la kukojolea basi akakojolea beseni yaan ukimfichia beseni anatumia ndoo ndogo ukimfichia ndoo anatumia vikopo vya dawa au mafuta au masufuria yaliyoyotoboka halafu anaamka mapema anamwaga kwenye majani basi iyo sehemu majani hayaoti sijui kwanini
Mimi kuna siku nilwahi kumfichia mdada mmoja kopo lake la kukojolea basi akakojolea beseni yaan ukimfichia beseni anatumia ndoo ndogo ukimfichia ndoo anatumia vikopo vya dawa au mafuta au masufuria yaliyoyotoboka halafu anaamka mapema anamwaga kwenye majani basi iyo sehemu majani hayaoti sijui kwanini
Nyege mbaya sana zisikie kwa mwenzio tu.....Uwoga wa kutoka nje, hususani kwa nyumba zenye choo nje.
Anyway.. mtu anaogopa kwenda chooni usiku lakini anaweza kutembea km2 kwenda kwa boyfriend
Duh umetisha mwaisa kwa kung'amua kua ni silaha mbadala kumbe..ina maana haikua maji mumbe lilikua ni kojo alilomwagia binam anguKuna jamaa alisha wahi kumwagiwa mkojo ali leta fujo asubuh asubh akaishia kuoga mkojo..sometimes ni siraha kumbe
Alichokuwa ananikera mimi akishakojoa anamwaga njeKwa hiyo shida ilikuwa nini?
Akukojolee wewe?
Mkuu una nyege mbaya sana.
Unashangaaa wadada, na vidume tupo ila tunaona tu aibu
Nyegee ukiziendekeza....ila ukizijulia hutesekiNyege mbaya sana zisikie kwa mwenzio tu.....
Juz tu nilikuwa kwa manzi fulan hapo dar nikalala kwake km wiki moja ,ni demu ambae huwez mdhania km anaweza kuwa na huo ujinga ,nilishangaa Sana kukuta kopo ndan ya room yake .
Kibaya Zaid ile nyumba ina choo Cha ndani Tena karibu kabisa na room yake ingawa sio self lakin ni Kama nusu self maana choo ipo ndan ,unafungua tu mlango wake choo hii hapa unaiona.
Nikamuuliza why unakuwa na hiyo tabia wakat choo ipo karibu ,et naona uvivu kutoka nje ,dah mm mda wote nilikuwa naenda choon yeye anachuchumaa kwenye kopo lake.
Ila kwa kifupi mm naona ni uchafu fulan na hiki kitabia kimeenea balaa hususan dar ,mikoan hamnaga huo ujinga na sijawah kutana nao.