Achana naye huyu mkuu.Huyu ni moja ya watu ambao wameamua kupoteza utu wao kisa njaa kama jina lake. Tena njaa yake inakula ubongo sasa na uzuri ccm wanamchora na unafiki wake.
Bila tume huru tutakuwa tunapoteza muda. Ni bora dunia ijue kuwa hatujashiriki uchaguzi kwakuwa hatuna tume guru kwani kwa mazingira tuliyonayo itakuwa tunajidanganya. Wakurugenzi wote makada na mwenyekiti wa tume kama Jecha je tutatoboaje?
Mh. Kiongozi wetu wa chama naomba utuweke wazi kuhusu uchaguzi na namna tume yetu ilivyo. Wapiga kura wengi wamekata tamaa juu ya siasa zilivyo hasa hii awamu ya tano. Je mnatushawishi vipi sisi wana mageuzi tushiriki uchaguzi huu ambao refarii ni kama Jecha?
Zanzibar-ASP, Hatuwezi kufanya ujinga huo. Dini yetu ipo wazi kwenye magonjwa ya mlipuko na kuambukiza kama haya basi tufanyie ibada nyumbani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku malambamawili wanatuzunguka tu na mabomba wametandaza ili hatujui kinachoendelea. Ni bora watuambie lini haswa watatuletea maji kwani kununua lita 1000 kwa 15000 ni jambo gumu na uchumi wenyewe mgumu sana. Maji wanakuja kuuza ila utazania wanakuja kugawa bure.
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.