Recent content by Koloboy

  1. Koloboy

    Tupia top 4 yako EPL kwa msimu wa 2021/22

    Huu Mkeka Umekaa Vema Kabisa✍️✍️✍️ Tuishi Mkuu, Hongera Sana Kwa Utabiri Wako
  2. Koloboy

    Jo Makini amekosa umakini. Anaimba imba tu maneno yasiyo na maana

    Ukweli Ni Kwamba Watanzania Wengi Sasa Wamejaa Ugonjwa wa Kupenda Nyimbo Zisizokuwa Na Maana, Na Hii Inachangia Na Timu Timu Hizi Ndio Zinaharibu Huu Muziki Wetu, Mnansema John Makini Lakini Nyimbo Za WCB Nazo Nyingi Zina Mashairi Yasiyoeleweka Ili Mradi Tu Vina Vifanane. Lakini Watu Wanapenda...
  3. Koloboy

    Kutoka Tunduru: Wakulima wa Korosho wapokea zaidi ya Sh. Milioni 500

    Mkuu Inawezakana Unachokiongea Ni Sahihi, Lakini Tunaomba Utuambie Ni Chama Gani Cha Msingi Kilichopokea Hiyo Hela?? Mana Malipo Yote Ya Wakulima Hulipwa Kulingana Na Chama Cha Msingi Kilichopokea Korosho....!!
  4. Koloboy

    Kwanini Serikali iliipokea bei elekeze ya tsh 1,550 na wakulima wakashangilia wakati wanajua gharama za uendeshaji ni kubwa??

    Taifa Letu Limejaa Watu Amabo Kazi Yao Hushangilia Tu Pindi Mkuu Wa Nchi Anapotoa Tamko Fulani..!! Baadae Jambo Lile Likiwa Tofauti Tena Huwa Wanapongeza Kwa Njia Yofauti 😀😀
  5. Koloboy

    Kwanini Serikali iliipokea bei elekeze ya tsh 1,550 na wakulima wakashangilia wakati wanajua gharama za uendeshaji ni kubwa??

    Ahsante Sana Mkuu. Serikali Iwape Elimu Wakulima Juu Ya Bei Elekezi Au Serikali Inataka Kuwatumia Wakulima Kama Mtaji Wao Wa Kisiasa??
  6. Koloboy

    Kwanini Serikali iliipokea bei elekeze ya tsh 1,550 na wakulima wakashangilia wakati wanajua gharama za uendeshaji ni kubwa??

    Nadhani Mkuu Hapa Kuna Sehemu Watu Wamemuingiza Mjini, Waliyokataa Kuuza Korosho Sio Wakulima Bali Ni Watu Wake Na Yeye Ameingia Mzima Mzima
  7. Koloboy

    Kwanini Serikali iliipokea bei elekeze ya tsh 1,550 na wakulima wakashangilia wakati wanajua gharama za uendeshaji ni kubwa??

    Habari Za Asubuhi Members..... Naomba Niende Moja kwa Moja Katika Mada Ya Hapo Juu, Lakini Naomba Niseme Tu Mimi Sio Mkulima Wala Mfanya Biashara Wa Zao La Korosho Isipokuwa Ni Mwananchi Tu Ambaye Huwa Nafuatilia Kidogo Mambo Yahusiyo Nchi na Taifa Letu Kiujumla. Kwa Sababu Hili Pia Ni Jambo La...
  8. Koloboy

    Upinzani wanakwepa ukweli kwa kujificha nyuma ya propaganda ya kuibiwa kura

    Yani Mpaka Wanatia Hasira Watu Wako Serious Wao Wanaleta Mzaha Tu Na Maisha Ya Watu
  9. Koloboy

    Upinzani wanakwepa ukweli kwa kujificha nyuma ya propaganda ya kuibiwa kura

    Namba Yako Ya Simu Inahusiana Nini Na Huu Uzi Wako????
  10. Koloboy

    Taarifa kutoka hospitali aliyopo Wastara kuhusu matibabu yake

    Nauliza Tu Hizi Picha Zote Ni Kutoka Hospital Alikofanyiwa Upasuaji??? Mbona Naona Nyingine Kasuka Na Nyingine Kavaa Wigi Na Room Pia Zikotofauti Au Mimi Sioni Vizuri??? Na Kulikuwa Na Umuhimu Gani Wa Kuweka Picha Ambazo Haziendani Na Content Ya Post Au Ndio Ule Usanii Bado Tunaendelea Nao...
  11. Koloboy

    Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

    Swali La Msingi Tu Vipi Unaamini Kuwa Tundu Lisu Alipigwa Risasi Au Hakupigwa Risasi??? Kama Alipigwa Ni Maeneo Gani Na Je Hayo Makovu Unayaona Kwenye Sehemu Hizo Alizopigwa??? Kama Hapana Nairobi Hospital Anafanya Nini Siku Zote Hizo???
  12. Koloboy

    Serikali: Pato la Taifa limekua kwa 6.8% ikilinganishwa na 7.7% ya mwaka jana. Uchumi haujaporomoka!

    Mimi Nina Ugonjwa Ambao Hata Waziri Pia Anao Yani Sijui Tofauti Ya Kushuka Na Kupanda.... So Anayeelewa Vizuri Anipe Somo Kidogo Hivi Kutoka 7.7% Mpaka 6.8% Hapo Pato La Taifa Limepanda Au Limeshuka Kwa 0.9%...??????
  13. Koloboy

    Askofu Zakaria Kakobe: Tanzania siyo nchi ya chama kimoja! Amtaka Rais Magufuli atubu

    Huu Ndio Ujinga Unaozungumzwaga Yani Mtu Akitokea Anamkosoa Mh Rais Basi Lazima Atakuwa Muhamiaji Haramu Au Atakuwa Halipi Kodi... Na Bado Kuambiwa Kuwa Kanisa Lake Liko Kwenye Hifadhi Ya Barabara
  14. Koloboy

    Arsenal vs Manchester United

    Umetisha Sana Mkuu.. Kwelia Wewe Mr Q
  15. Koloboy

    CCM yasema haina taarifa ya kurudi kwa Wema Sepetu

    Hii Ndio Tabia Tuliyonayo Waswahili Huwa Tunamuamini Mtu Kupitia Maandishi..
Back
Top Bottom