joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,855
- 39,555
Mourihno akiachana na style yake ya kukaba na kuzuia, hii mechi anashinda bila wasiwasi
Asante mkuumbili na nusu usiku
je utabiri huu itatimia?arsenal 1 man u 3
1-3 full time.
arsenal 1 man u 3
1-3 full time.
bado muda ngoja tusubiriUmetisha Sana Mkuu..
Kwelia Wewe Mr Q
duuh hatari mkuu mtu angekuwa na weza kitabiri namna hii kwa mechi tano kila siku tu muhindi angehama nchi.Mkeka haujachanika Mr.Q
duuh hatari mkuu mtu angekuwa na weza kitabiri namna hii kwa mechi tano kila siku tu muhindi angehama nchi.




Am a Goooner thoughhahaha poleAm a Goooner though
Maneno yako yanaaminika zaidi hata ya neno aminika lenyewe. Maana mmempiga Man united goli 1 na yeye akawapiga 3.Umesema ni gemu Kali sana, mara Man ananafasi ya kushinda!! Umelogwa wewe. Man hawana ubavu wa kutufunga Gunner's amini maneno yangu.
Arsenal ilikuwa inasumbuliwa na Man U ya Sir Alex Ferguson..ila tangu aondoke man u kumfunga Arsenal ifanyekaz kwerkwer.na chengine uhasama wa wenger na mourinho..babu wenger hatokubali kejel za mourinho.tutegemee mechi suluhu.au man u wanyooshwe na giroud maana ndio mbaya wao huyo.
Umetishaarsenal 1 man u 3
1-3 full time.