Recent content by Koloba

  1. K

    UKAWA wawatia kiwewe CCM

    Kila jambo na wakati wake hili la katiba limeonyesha dalili ila wkt wake bado,ni vizuri huu mjadala mzito uendelee na bunge lihairishwe hadi tutakapopata muafaka wa kitaifa. Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  2. K

    Wiki hii ni mwanzo wa mgawanyiko wa Tanzania kwa miaka ijayo

    Mkuu kauli nzito hii!! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  3. K

    Nimesikitika kusikia Mbunge wangu anatumwa kupika chai Bungeni na Spika

    Kotomtaja jina hujamtendea haki! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  4. K

    Una miaka 30 hujaolewa? na bado, utaona moto

    Hivi ni lazima kuolewa? Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  5. K

    Updates: Mbowe, Mbatia, Lipumba wamesema Ukawa hawatarudi BMK!

    Sio lazima upige kura wewe kwani ni wangapi ambao hawapo na niwangapi wapo lkn hawajafikia umri wa kupiga hiyo kura?tuache kwani historia itatoa hukumu na itajulikana ni nani alikuwa kikwazo. Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  6. K

    Msimamo wa UKAWA wazidi kuwa mkali!

    Wananchi wa wapi waliowachoka?ukweli haukai na uongo hata siku moja!muda wa kuipata katiba ya wananchi bado haujafika,ukifika hakuna mwenye uwezo wa kuzuia. Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  7. K

    Polepole: Suala sio UKAWA kurudi bali warudije?

    Kwanini iwe lazima?mimi naona waliobaki waendelee itakuwa rahisi sana kumaliza kazi maana hapatakuwa na mabishano yoyote itakuwa ni ndioooooo! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  8. K

    Madiwani wa CHADEMA mkoani Shinyanga walioasi na kujiunga na CCM waomba kurudi CDM

    Politics!!ha ha ha ha ha tafsiri yake ni ngumu sana! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  9. K

    Jihadharini na daraja la kawe!!afande kova tunaomba vijana wako leo na kesho wakae hapo

    Kuna topic ilianzishwa hapa kupongeza majambazi!! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  10. K

    Mwakyembe awa M/kiti wa CHADEMA jimbo la Temeke

    Haji nimecheka sana shekh wng hadi watu wananishangaa!u made my day! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  11. K

    Baada ya Mdahalo: Nani anazuia upatikanaji wa Katiba Mpya?

    Chuki zako kwa Wachaga hazitakusaidia chochote sana sana unazidi kuharibu!Walishatangulia hata utambike wapo juu kama muashoki! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  12. K

    Wasira kawafunika

    Mambo kama haya ndo yapo hadi bungeni kwenye suala la katiba hakuna mshindi ni maridhiano mkuu,hao wanaojiona wengi wamekwama ndo maana wanataka UKAWA warudi,katiba ni yetu sote wingi si hoja. Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  13. K

    CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

    Mkuu Songoro u made my day nimecheka sanaaa!Jf ni kila kitu duu! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  14. K

    Polisi Kimara chukueni hatua hali ni mbaya Kimara Stop Over

    Hapa umeongea jambo la maana sana ambalo linafanana na hili,kwenye vituo vya daladala kuna watu ambao kila basi likipakia abiria lazima wapewe sh mia au mia mbili!nilijaribu kumuuliza dereva ni kwanini unawapa hela?alinijibu usipompa anavunja kioo au kungoa chochote kwenye gari!nikamuuliza...
  15. K

    Polisi Kimara chukueni hatua hali ni mbaya Kimara Stop Over

    Yumo humu,ameshaisoma. Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Back
Top Bottom