Msimamo wa UKAWA wazidi kuwa mkali!

Msimamo wa UKAWA wazidi kuwa mkali!

Tusiandikie mate na wino upo, tusubiri tuone nani mshindi kati ya wachache(UKAWA) na wengi(wanaorudi bungeni). nachojua UKAWA wanaona aibu kurudi kwa sababu hata wananchi wameshawachoka, sasa watakwenda wapi?walisema wanakwenda kuwashtaki kwa wananchi wakaenda wakarudi mikono mitupu.
Wananchi wa wapi waliowachoka?ukweli haukai na uongo hata siku moja!muda wa kuipata katiba ya wananchi bado haujafika,ukifika hakuna mwenye uwezo wa kuzuia.


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Eeh inamaana pinda na mwigulu wakiongeaga wewe unaziba masikio!

Pinda anawatania nao tele wanajaa kwa sasa ukawa ni kama ngoma ya kuchezea ukijisika kucheka au kchezea unawachokoza ukawa ni kuwaenjoy.
 
Tusiandikie mate na wino upo, tusubiri tuone nani mshindi kati ya wachache(UKAWA) na wengi(wanaorudi bungeni). nachojua UKAWA wanaona aibu kurudi kwa sababu hata wananchi wameshawachoka, sasa watakwenda wapi?walisema wanakwenda kuwashtaki kwa wananchi wakaenda wakarudi mikono mitupu.

Kumbe wewe unatafuta mshindi! Poor kabisa.
 
Mkuu, mchumia tumbo si ndio aliotakiwa kua bungeni ili apige posho? Au neno mchumia tumbo lina maana tofauti na hiyo!?

ukawa walichukua posho za siku zote ndiyo wakaondoka halafu wakiwa nje ya bunge walikuwa wanalipwa na mataifa ya kigeni.
 
Pinda anawatania nao tele wanajaa kwa sasa ukawa ni kama ngoma ya kuchezea ukijisika kucheka au kchezea unawachokoza ukawa ni kuwaenjoy.

Sasa wewe subiri msajili achemke ndio utajuwa wanatania au Laa!!
 
I like to see changes, thus y i support ukawa, i don't care what they intend to.
 
Kama upande wa pili hawatajadili rasimu ya warioba ukawa wasirudi kabisa
 
Usijitoe ufahamu,mshikwa na ngozi ndiye mwizi.Baada ya tume ya warioba kumaliza kazi walimkabidhi Raisi na yeye alikuwa na uwezo wa kukataa maoni ya rasimu kama Mkapa alivyokataa ya jaji Kisanga alishindwa nini ?kamuulize kama wananchi na kamatikuu kwake wamuhimu nani.mshauri aweke utaifa kwanza na chama baadae
 
CCM acheni kumfedhehesha mwenyekiti wenu.
Mnamfanya kama king'amuzi
 
Wewe ni kifaranga tu, tunamtaka mama yako.
UKAWA ni kama wamepoteza mwelekeo kila mtu anawacheka.
Ujenzi wa taifa letu uko mikononi mwetu wananchi na ccm hawana nafasi ya kutuandikia katiba waitakayo kwa maslahi yao na watoto wao!!
 
CCM wameligeuza bunge la katiba kuwa mradi wao wa kuwaibia wananchi.
 
Tusiandikie mate na wino upo, tusubiri tuone nani mshindi kati ya wachache(UKAWA) na wengi(wanaorudi bungeni). nachojua UKAWA wanaona aibu kurudi kwa sababu hata wananchi wameshawachoka, sasa watakwenda wapi?walisema wanakwenda kuwashtaki kwa wananchi wakaenda wakarudi mikono mitupu.

Hata aibu huna!!
 
Waache kutuzingua rasimu Ya Warioba ndo ijadiliwe wao walikuwa wapi kutoa maoni wakati wanapita waache kutuzingua wanafikiri wananchi bado ni kama wale wa 1947 mpaka kieleweke wamezoea mipasho na UKAWA wasirudi bungeni
 
Kwani ulitaka baada ya kutoka kwa wananchi, mikononi wawe wamebeba nini? Kwa uchunguzi wangu usio rasmi naona kama wamefanikiwa sana UKAWA maana sasa hivi, tofauti na mwanzo, karibu kila eneo ukipita, hata vijijini, wananchi wengi wanaongelea katiba. Na walio wengi utawasikia wakiilaani CCM kuwa wanataka katiba itakayowawezesha waendelee kuiba.

Tusiandikie mate na wino upo, tusubiri tuone nani mshindi kati ya wachache(UKAWA) na wengi(wanaorudi bungeni). nachojua UKAWA wanaona aibu kurudi kwa sababu hata wananchi wameshawachoka, sasa watakwenda wapi?walisema wanakwenda kuwashtaki kwa wananchi wakaenda wakarudi mikono mitupu.
 
Wewe ni kifaranga tu, tunamtaka mama yako.
UKAWA ni kama wamepoteza mwelekeo kila mtu anawacheka.

Waache walazimishe wananchi tunawasubiri kwa kura ya maoni. Mimi sehemu nilipo Nina uhakika wa 80% ya kukataliwa Rasimu ya CCM na ili katiba ipite ni lazima ipatikane 2/3 bila ya hi yo hakuna katiba
 
Back
Top Bottom