Tunaliaomba jeshi la.polisi kumchukulia hatau Baba Teri kimara stop over Saranga ambae amekuwa ni kinara wa uuzaji wa pombe haramu ya gongo na pombe nyingine za kienyeji.Nyumbani kwa baba Teri ndio pamekuwa kituo sugu cha vifaa vinavyoibiwa kwa wakazi wa eneo husika.Tunaliomba jeshi la polosi Taifa kuchukua hatua kali dhidi ya baba Teri kutokana na ukweli ya kwamba polisi kituo cha kimara wameshindwa kabisa kumchukulia hatua zinazostahili