mmmh nikupinge kidogo aiseee..kaeleza kile kitendo cha kwann jeshi la polisi liambiwe ketini pembeni wakati wafuasi wa kijani wameuliwa,sie kijani tutamaliza wenyewe ?????...na kijani ndio dola yenyewe nani anauthibitisho kuwa chadema ndo wameua ???...hakuna damu inaostahili kumwagika hata...
yule wema ni muigizaji lkn kazi yake na umaarufu pia ...wenzetu wazungu reality shows zao hawajieki three two one action ...cameras zipo..hawana muda wakupaka Yale ma mikosi ya uso na kujiuliza kama nyonyo inaonekana kias gani....tatizo wabongo kuiga mno....
kwamba tulipaswa kutizama vpnd...
ivo sjui wadada wetu tbc walishadanganywa kuwa suti kwa mwanamke ndo vazi only la kiofisi ???...madada wa citizen wanavaa vigaun zuri sana na belt simple wanajiachia..hawakaaaazi mimacho wanarilax...utangazaji raha ujue ???...sio michezo kwanza anaesoma hata jina la ile club alioitaja ndo...
makber ukisema asiyeupdate shauriyake unakuwa umekosea saana sana maana ujui wat hapened !.kweli ni kosa kupuuzia mambo lakn kumwambia m2 aahirishe mwaka kisa updation ni UONEVU ,mitandao yaweza kuwa ilikua inazngua HESLB wanafahamu kabisa ,wanathink using stomarch not brain !
dr sayi kufariki dunia akiwa ni daktari pekee aliejitolea kutake risk kama hlo ,sijambo lakuishia kulalamika na kujihurumia 2 sis watanzania wazaz ,bali ni suala ambalo kwa serekali makini na yenye uchungu kwa taifa lake ingelitazama kwa jicho la tatu !. Maana kama huyo daktar mwngne aliweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.