Picha inatusaidia nini?? sisi tunataka the best interest rates. Akili zetu wabongo bhana.
Picha imewekwa jengo refu duniani Uzi. Picha kubwa ya rais Uzi. Mambo ya msingi no discussion. SMH!!
Habari wanasherehe wenzangu,
Kila siku ni sherehe na kila siku ni sikukuu, maisha mafupi na huku kwenye kugida ndiyo starehe zetu.
Wakuu baada ya miaka mingi ya kugida Beere! Naona sasa ni wakati wa kubadili chaka!
Bia nimekuwa ziwezi kunywa chini ya 7, ili gari liwake! Sasa hii imekuwa...
Umeongea ukweli kabisa, mimi nina ndugu zangu wao ni dini ya upande wa pili, aisee yaani wanatubagua sana, wapo tayari kushirikiana na watu baki ambao wanaabudu pamoja, na sisi tumepotezewa kabisa, smh!!
Wakuu, mimi nataka kufahamu nikiagiza simu ya iphone 11, toka USA ikifika hapa bongo kwa EMS, ni kodi au malipo kiasi gani nitalipia kuitoa simu hiyo? Wenye uzoefu pls?
Waafrica ni watu wenye uwezo mkubwa na wamejaliwa mali nyingi na ustahimilifu wa mazingira magumu. Sifa hizo zote kwa karne nyingi zimekuwa ni hofu kubwa dhidi ya wazungu.
Wanajua tukiweza kujitambua na kuendeleza raslmali zetu watakuwa na wakati mgumu sana, na pengine tunaweza kuwaangamiza na...
Salaam wadau,
Penye miti mingi, hapakosi wajenzi.
Leo naomba kufahamu au kupata elimu toka kwenu wadau, jinsi ya kufanya ninapotaka kuagiza mzigo/bidhaa toka nje ya nchi kwa nia ya kujakufanya biashara hapa nchini.
Nimeona watu wengi wakifanya biashara ya vitu mbalimbali toka China...
Wasalaam,
Leo nimetafakari mambo yanayoendelea hapa nchini kwangu, Moyo umeumia sana. Hasa ninapoona jambo lililokuwa likisaidia wananchi na kurahisisha maisha, linavurugwa na kuongezwa ugumu na serikali yetu ambayo ilitakiwa kulinda mazingira bora ya wananchi wake.
Si kingine, TOZO YA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.