Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 25,305
- 34,644
AiseeNiliacha pombe kwa kua kila nikinywa pombe nikiamka naamka na kesi,kwa ufupi nilikua bapata hasara sana.Kwa sasa nimekua mnene sana,mda wowote napasuka maskini Mimi.Nikinywa pombe lawama,nimeacha lawama.Dunia tambara bovu nimekubali